Nilikua sijajua ubinafsi wa Wabongo hadi awamu ya 5 ilivyoingia na U turns na kujitoa akili kwa "Nzagamba" wengi wa JF

Pale mtoa uzi anapata “likes” 2 tu na mtoa comment kumuelimisha mtoa uzi bwana Ngabu anapata “likes” 7 and counting,inatakiwa Ngabu ujifikirie sana!

Post yako Ngabu ni ya kinafiki sana,and the numbers dont lie!

Watanzania spoke,7-2!
 
Vijana tafuteni fulsa za kuwakwamua kiuchumi kwa manufaa yenu na taifa kwa ujumla.
Siasa za Kiafrika zinaendana na upepo wa kutafuta fulsa za kuwaneemesha wanasiasa tu.
Mkiambiwa Muandamane mutauliwa huku Viongozi wanaowatuma wakila keki ya Taifa na wanasiasa wenzao wa chamatawala.
Mwenye Masikio na Asikie
 

I’m not here looking for Likes. Maybe you are...
 
Hujaridhika na kubeba box huko!? unatakabuteuzi?? Kwenye mambo ya hekima unaleta uboya? Kuna watu Tz wamefilisika na cheni nzima imepotea! Tuna tatizo la mifumo bunge ,mahakama, hakuna checks and balance!, Yapo maelekezo ya maandishi na sauti mkuu ubaguzi wa kisiasa ,nk; Democrasia ,
 
Wapo wengi hawana habari wala hawana uelewa wa kujuwa faida ya maridhiano.Wao wanachowazia ni kulinda nafasi ya madaraka na vyeo vyao.They need to maintain status quo.Slogans za hatuhitaji misaada ya mabeberu kwa kuwa wao wanashabikia demokrasia iwepo Tanzania ,sisi ni tajiri ela ipo ya kutosha haitoshi kuondoa impacts za mdororo wa uchumi unaonekana kwa jamii nyingi za watanzania.
 
Tanzania Amani imetawala
Amani ya kupiga risasi Watanzania tena kwenye maeneo ya Bunge tukufu
Amani ya kuteka watu na kuwapoteza
Amani ya kuzuia uhuru wa kufanya mikutano ya hadhara
 

Go figure!

Wala hatuhitaji maridhiano....
 
Usipotoshe mawazo ya busara,usilete UHUNI wako katika mambo ya msingi ,wewe ni nani mpaka usihitaji?
 

Uteuzi wa nini mimi..?
 
I’m not here looking for Likes. Maybe you are...

Yeah blah blah blah

“Sipo hapa kwa ajili ya likes...yara yara yara”

Jibu jepesi sana hilo na linafahamika!

Reality ni kwamba,numbers dont lie!

Umetoa post,hizi ndio reactions za viewers ambao ndio haswa audience yako!

Hizi ndio reactions with real numbers mzee!
 
Maridhiano maana yake ni ku share ulichonacho hili taifa lenu liwe na ustawi wa kiuchumi,kisiasa na kijamii.''Integration ya makundi mbali mbali ni muhimu kuliko wale wanaounga mkono 100% yote yanayotolewa bila kutoa mchango wao kwa kuogopa kupoteza nafasi ya vyeo vyao ''KARAMA ZA KILA BINADAMU UTOFAUTIANA'' TUSIBEZANE BALI TUCHANGIE KTK UJENZI WA TAIFA LETU.''
 
Kwa mfano kukiwa na maridhiano tutapungukiwa nn we mbeba box?
Hujamuelewa.

Maridhiano ni Mapatano, sasa Mbowe anasema waridhiane / wapatane JE ni kutokana na ugomvi upi? Wa lini?

Nafikiri mleta mada amemaanisha hivyo.
 
Safi Sana Mwamba Mbowe TUVUSHE.

Leo ndiyo nimethibitisha kuwa ninyi wafuasi wa chadema ni manyumbu. Si mlimkataa kuwa Magu siyo Rais?

Leo mmeenda kumlamba mguu na kisarenda baada ya kuona Magu hana matani na wanaokwamisha maendeleo.

Huyu ni jiwe hatikisiki wala hapepesi macho
 
Hujamuelewa.

Maridhiano ni Mapatano, sasa Mbowe anasema waridhiane / wapatane JE ni kutokana na ugomvi upi? Wa lini?

Nafikiri mleta mada amemaanisha hivyo.

Kujadiliana na makamanda kwa kutumia akili ni mateso!!
 
Leo ndiyo nimethibitisha kuwa ninyi wafuasi wa chadema ni manyumbu. Si mlimkataa kuwa Magu siyo Rais?

Leo mmeenda kumlamba mguu na kisarenda baada ya kuona Magu hana matani na wanaokwamisha maendeleo.

Huyu ni jiwe hatikisiki wala hapepesi macho
Sikiliza Wewe Sisi ndio wataalamu,Siasa ni Kucheza karata yako vizuri sio bao la kuhesabu kete lile na kujua unatua wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…