Mchezaji wa moroco aliyekuwa mbele yake ndio aliemchanganya akashindwa kufanya maamuzi kwa haraka
 
Sisi TZ tunafanya mambo yetu kwa mihemko na njia za mkato.

Sasa hivi focus imekuwa kutafuta wachezaji wanaocheza nje ya nchi, lakini tunasahau kuweka miundombinu ya kuzalisha wachezaji wazuri hapa ndani.

Mfumo wa kuzalisha na kukuza vipaji haupo, mfano mdogo; toka Hashim Thabit aende kucheza Marekani miaka mingi iliyopita hakuna hamasa wala yeyotr mwingine aliyetoka, iko hivyo kwa michezo mingine pia.
 
Si mlisema watakufa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…