chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Kibu pamoja na msuli wote ule siku zote anaanguka anguka, sijui shida nini.Kibu, atachoka sana.
Asec Mimosa wana bahati sana
Naunga mkono hoja 👍👏Inabidi TFF iwekwe kanuni!! Si kila mchezaji anayecheza nje anafaa kuchezea Taifa Stars, Itazamwe pia ligi anayochezea na daraja la timu anayochezea!! Haya mambon ya kutuletea Kawawa wa kichina hayakubaliki!!
Naunga mkono hoja 👍👏taifaa stars wamekaza.
ila viongozi wasiingize siasa na mpira.
kwa mbali nilimuona konde boy akishangilia.
Zambia kapigwaMatokeo ya mechi ya zambia yako vipi?
Mguu haushiki chini vizuriKibu pamoja na msuli wote ule siku zote anaanguka anguka, sijui shida nini.
Kwangu kupigwa mbili na Morocco, amejitahidiKwanini Amoroche asitupiwe virago, kama robertinho?
kwa kosa lipi?Kwanini Amoroche asitupiwe virago, kama robertinho?
🤣🤣🤣Hivi haji inonga ni mwarabu? Jamaa ana discipline sana, ni mstaarabu mno
Unaona amepatia? Au kazingua?Hiki kikosi huyu kocha aliwazaje
Mchezaji wa moroco aliyekuwa mbele yake ndio aliemchanganya akashindwa kufanya maamuzi kwa harakaHuyu kipa ni kama yule Ayubu wa Simba!! Hamna kitu hapo!! Shuti toka katikati ya uwanja linamkuta kipa kajisahau na kushangaa mpira anauona ndani ya nyavu!!
Unaweza kukuta mlango umefungwa kumbe kitasa hakijafungwa na ufunguo wala komeo haipo!! ukisema ngoja nijaribu kuufungua unashangaa unafunguka vizurti tu!! Ndivyo alivyojaribu yule mfungaji wa morocco toka katikati ya uwanja!! HAMNA KIPA HAPO!!
Wangepewa hata 7 wagawane vizuri ile cc ya ccmWamekandwaaa🤣🤣🤣🤣
Upewe wewe?Kwanini Amoroche asitupiwe virago, kama robertinho?
Apewe mwinyi zahera au baba IsayaUpewe wewe?
Si mlisema watakufa taifaRoma haikujengwa siku Moja, tumecheza na timu iliyotuzidi ubora sana, Morocco ni timu namba Moja kwa ubora Africa na ya 13 Duniani
Hawa wamemfunga portugal,Spain and the like mpaka kufika nusu fainali kombe la Dunia,... Unafungwa na Morocco yenye wachezaji Bayern Munich, psg, Galatasaray, man UTD eti unataka kosa afukuzwe??