Hakuna nia ya dhati kuendeleza michezo wala sanaa. Viongozi wanafanya tu ili kuondoa lawama. Wakipata watu wawili watatu wa kuwatumia kwenye kampeni zao wamemaliza.Sisi TZ tunafanya mambo yetu kwa mihemko na njia za mkato.
Sasa hivi focus imekuwa kutafuta wachezaji wanaocheza nje ya nchi, lakini tunasahau kuweka miundombinu ya kuzalisha wachezaji wazuri hapa ndani.
Mfumo wa kuzalisha na kukuza vipaji haupo, mfano mdogo; toka Hashim Thabit aende kucheza Marekani miaka mingi iliyopita hakuna hamasa wala yeyotr mwingine aliyetoka, iko hivyo kwa michezo mingine pia.
Mwanzo nilikuwa simuelewi kabisa ila kuna tuvituvitu amefanya kipindi cha pili hadi amenibadili mtazamo wanguHivi haji inonga ni mwarabu? Jamaa ana discipline sana, ni mstaarabu mno
Uliwasikia vibaya. Ujifunze kusikiliza kwa makini.Si mlisema watakufa taifa
Kwa hiyo waarabu tu ndiyo wenye discipline?Hivi haji inonga ni mwarabu? Jamaa ana discipline sana, ni mstaarabu mno
Nitoe mimi.Watanzania watalamu wa kulaumu
Kwa hiyo tumekufa kiume?Roma haikujengwa siku Moja, tumecheza na timu iliyotuzidi ubora sana, Morocco ni timu namba Moja kwa ubora Africa na ya 13 Duniani
Hawa wamemfunga portugal,Spain and the like mpaka kufika nusu fainali kombe la Dunia,... Unafungwa na Morocco yenye wachezaji Bayern Munich, psg, Galatasaray, man UTD eti unataka kosa afukuzwe??
Mue realistic... Mlitegemea kutunishiana misuli na timu kama Morocco?Kwa hiyo tumekufa kiume?
Tupo pamoja mkuu. KIZIMKAZI 0Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.
Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.
Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.
Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
Sawa ila ulivyo mjinga utaidai Serikali ijenge viwanja vya michezo.Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.
Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.
Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.
Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
Labda la buzakWahiyo kumbe la dunia tunaenda au hatuendi?😂
Kwa kosa la kutuletea kawawa wa kichina!!kwa kosa lipi?
Kipa anazidiwa na makocha! Haya sawa.Watanzania tuna tabia ya kudharauliana yaani mtu akicheza nje hata kama anakaa benchi as long as anatoka nje basi tunamshobokea ila yule kipa anazidiwa na makocha wetu wa Tanzania pakubwa sana.
Wale jamaa wanacheza mpira wa akili,unaenda kwa nguvu huwekewi ubavu mpira unachukuliwa unakwepwa unaangukaNaunga mkono hoja [emoji106][emoji122]