FT: Tanzania 0-2 Morocco Kufuzu Kombe la Dunia, Novemba 21, 2023
Sisi TZ tunafanya mambo yetu kwa mihemko na njia za mkato.

Sasa hivi focus imekuwa kutafuta wachezaji wanaocheza nje ya nchi, lakini tunasahau kuweka miundombinu ya kuzalisha wachezaji wazuri hapa ndani.

Mfumo wa kuzalisha na kukuza vipaji haupo, mfano mdogo; toka Hashim Thabit aende kucheza Marekani miaka mingi iliyopita hakuna hamasa wala yeyotr mwingine aliyetoka, iko hivyo kwa michezo mingine pia.
Hakuna nia ya dhati kuendeleza michezo wala sanaa. Viongozi wanafanya tu ili kuondoa lawama. Wakipata watu wawili watatu wa kuwatumia kwenye kampeni zao wamemaliza.
 
Roma haikujengwa siku Moja, tumecheza na timu iliyotuzidi ubora sana, Morocco ni timu namba Moja kwa ubora Africa na ya 13 Duniani

Hawa wamemfunga portugal,Spain and the like mpaka kufika nusu fainali kombe la Dunia,... Unafungwa na Morocco yenye wachezaji Bayern Munich, psg, Galatasaray, man UTD eti unataka kosa afukuzwe??
Kwa hiyo tumekufa kiume?
 
Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.

Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.

Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.

Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
Tupo pamoja mkuu. KIZIMKAZI 0
 
Sasa hivi mnajadili kipa katokea wapi? Mchana mlikuwa mnahamasisha serikali ihakikishe wachezaji wa ulaya waje Timu ya Taifa, mara Samatta kiwango hamna, Manula kapigwa Tano, BINADAMUUUUUUU
 
Kwa kifupi nilikuwa nasapoti Morocco mwanzo mwisho na sababu kubwa ni upumbavu wa hii nchi kila kitu kufanywa cha siasa.

Rwanda kashinda leo ,huwezi ona Mabango ya Kagame wala timu inaitwa ni ya Kagame,the sama Kenya kule, kwa kifuoini Tanzania pekeee ndii kila kitu ni siasa.

Simba na Yanga the same wanashindana kumfurahisha Malikia.

Kwa kifupi sina Uzalendo pale ambapo siasa za CCM zinapo tangulizwa mbele,piga hao Taifa CCM stars.
Sawa ila ulivyo mjinga utaidai Serikali ijenge viwanja vya michezo.
 
Watanzania tuna tabia ya kudharauliana yaani mtu akicheza nje hata kama anakaa benchi as long as anatoka nje basi tunamshobokea ila yule kipa anazidiwa na makocha wetu wa Tanzania pakubwa sana.
Kipa anazidiwa na makocha! Haya sawa.
 
Back
Top Bottom