Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm mwenyewe nilitamani iwe ivo maana ile combo yake na Muda siku ile na kaizer ilikuwa [emoji91]Hii nafasi leo tungemuona Mkude, Mauya simuelewagi kabisa
Ngoja tumuone leo huenda akakiwashaMauya yupo vizuri wasi wasi wako tu
Ni kweli mkuu. Ila rotation ni muhimu kwaio hapo inabidi tuombe benchi la ufundi kusajili back ya maana ya AuchoMauya akianza, game inakua ngumu kwa upande wetu Yanga.
Huyo Mauya me simuamini kabisa.
Ahsante kwa taarifa mkuu.Ana kadi mbili za njano
Hasa ndugu MuwasibuWana simba wanomba Azizi Ki akae bench
Hiyo nafasi msimu ujao, nashauri ichukuliwe na Sospiter Bajana ama Yusuph Kagoma, huyo Mauya apite hivi.Anapiga pasi za nyuma sana na mara nyingi pasi zake za kwenda mbele hazifiki kwa walengwa [emoji1], ila kwenye kukaba anajitahidi [emoji106]
Kama kwenye game na mtani atakuepo basi haina shaka.Kadi za njano 2.
Means wamemweka reserve kwa ajili ya game ya Mtani
Huwezi jua mkuu, huu ni mpira sio drafti.Mechi muhimu kwenu sio ngumu. Embu angalia mechi 10 za mwisho mlipokutana.
Kwangu ni Sospiter Bajana ama Yusuph Kagoma, Mauya atupishe.Ni kweli mkuu. Ila rotation ni muhimu kwaio hapo inabidi tuombe benchi la ufundi kusajili back ya maana ya Aucho
Bora Mkude kuliko Mauya, akiwepo yeye kazi huwa inakuwa ngumu mno.Ni kweli mkuu. Ila rotation ni muhimu kwaio hapo inabidi tuombe benchi la ufundi kusajili back ya maana ya Aucho