Sidhani kama Azam watamuachia bajana ukizingatia ameongeza mkataba hivi karibuniKwangu ni Sospiter Bajana ama Yusuph Kagoma, Mauya atupishe.
Munafaidi soccer tamu kutoka kwa wataalamu wakutandaza soccer.Mpira unavutia hapa
Nilijua hilo tangu mapema.Naona gap la Aucho
Umeongea kinazi sana, Haule kafanya bonge la save ilikuwa ni goli shuti ailopiga KonkonNdio maana watu wanasema Singida ni tawi la Yanga
Kama ilivyo Coastal Union sioNdio maana watu wanasema Singida ni tawi la Yanga
Huyo kagoma ndio wale wale mkuu [emoji1], afadhali bajanaHiyo nafasi msimu ujao, nashauri ichukuliwe na Sospiter Bajana ama Yusuph Kagoma, huyo Mauya apite hivi.
Mchawi pesa tu, tukiamua tunaweza.Sidhani kama Azam watamuachia bajana ukizingatia ameongeza mkataba hivi karibuni
Kwani unafutilia hii game?Ndio maana watu wanasema Singida ni tawi la Yanga
Fei toto mbona aligomea kuongezewa mshahara?Mchawi pesa tu, tukiamua tunaweza.
kwasasa hamna mchezaji (wandani) mwenye jeuri ya kuigomea ofa ya Yanga.