Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Anaepaswa kupigwa sindano ya sumu ni huyu Rais ambae ametokana na Mapolisi.Ni Rais wa aibu kwa sababu hana kibali cha wananchi.We una chuki Sana Na Samia, Cha kukusaidia ni upigwe sindano ya sumu ufe taratibu
Chadema
Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Unamjua mdudu anayeitwa NDUMILAKUWILI.Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Mimi ni CCM ila simkubali kabisa kwa sasa,Ila nilimpokea kwa shangwe kubwana sana,akibadilika nitabadilika naye, mwaka 2025 tunataka rais MtanganyikaMimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Atumie mbinu za JK ,kung'ata na kupuliza,hao ni njaa tuu wakaipata ruzuku wanatulia,akija Rais mwingine anawaminya hivyo hivyo inakua ni kuwachezea kama watoto.===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Tanzania hatuna katiba,katiba ni raisShe is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Daaah, Watu wanamaneno sana,Kamfufueni Basi dikteta aje amalizie ingwe yake
Huyu anaiingizia nchi dollar, pound na Euro nyingi Kila uchao na hafanani na wewe unayemtegemea shemeji Yako Kwa Kila kitu! Yaani anakuzidi parefu Sana kwenye kuchangia uchumi wa nchi![emoji23][emoji1787]View attachment 2046221
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Hata mimi nimeshindwa kuelewa , kwann iitwe taarifa kwa ummaHuku sasa siyo sawa na bwana Kangi na mikorosho yake?
Hii ni taarifa ya umma ama muhtasari wa hotuba ya mgeni rasmi kwenye mkutano wa kina Zitto na wenzake jana?
Hakuna jipya hapa.
KWA MATUSI HAYA KWA RAISI WETU, MIMI NAONA AENDELEE KUWAZUIA MIKUTANO YENU YA HADHARA. KWELI MAMA WAWATU ANAHANGAIKA NAMNA HII KULETA MWAFAKA WA SIASA MUMEANZA MATUSI MAPEMA HII??She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Nakuona hapo Kati[emoji23][emoji1787]Huyu anaiingizia nchi dollar, pound na Euro nyingi Kila uchao na hafanani na wewe unayemtegemea shemeji Yako Kwa Kila kitu! Yaani anakuzidi parefu Sana kwenye kuchangia uchumi wa nchi!
Kuongea kwa mihemko humu jamii JF hakuongezi wala kupunguza kitu kutoka kwenye iyo barua ukubal ukatae mtafata barua ilivyo agiza
Kla sku viongozi wenu wanawaomba mtoke barabaran mtafute haki zenu kwa nguvu nyie mnazani ni masihala siasa ni mapambano sio mikwala ya kijinga umu JF
Serikal ikisema akuna mikutano ni akuna mikutano ilo mmeliona kwenye uongozi wa JIWE
Siasa za kashifa na lugha ya kuuzi alizizoea mzee wetu Kikwete mtamtukana atawaita ikulu mtakunywa juice na sambusa zen mnapiga pic ila hawa wengne siasa izo hawaziwezi Chadema jifunzeni ilo na mtafute njia ingne nzuri ya kufanya siasa na viongozi hawa wa sasa.
Mbowe akifungwa itakua ni faida sana kwa chadema. Mbowe ni kachelo wa serikali na mbowe ndo anaeiuwa chadema ilo harina ubisha . Chadema ilizalishq vijana weng wazuri sana kisiasa ila mwisho wa sku wote hawaonekan walikopotelea na wengne wamejiunga na CCM tutasema walinunuliwa ila tujiulize vijana wote wa chadema huwa wananunuliwa au kukengeuka Ukianza na Zitto to Mdee.
Chadema imebaki ya kina Lissu,mbowe , msigwa,sugu,heche,lema na mnyika wengne wote ukihoji utaambiwa wamenunuliwa au wamekengeuka majb ya kijinga kbsa
Funga gaidi mbowe kwa maslai mapana ya Chadema
Hakuna mwanachadema anaeamini Mbowe ni gaidi.Ila nae Chair aache ugaidi
Na mimi nakuunga mkono ni mtazamo wetu huyo bwege asikukatishe tamaa.
Utabweka Sana msimu huu! Nyumbu anakuzidi Kwa mengi!Nakuona hapo Kati[emoji23][emoji1787]View attachment 2046504
#Tanzania kaziiendeleeUtabweka Sana msimu huu! Nyumbu anakuzidi Kwa mengi!