Ndo akili za wasomi wetu Hizo, hawatatui matatizo ila wanaibua matatizo mapya kureplace yaliyokwepoHao wanaojiita Wanaharakati wanaoendaesha campaign dhidi ya Diamond ni wapumbavu tu ambao hawajawahi kuendesha campaign yoyote ikafanikiwa.
Hawana mchango kwa msanii yeyote hapa nchini. Mtu kama Maria Sarungi amesoma, amekula na kuishi kwa Kodi za wanyonge hawa hawa halafu anajifanya kuendesha campaign dhidi mtoto aliekulia kwenye lindi la umasikini na leo amejikwamua nae tunamuonea wivu.
Stupid!
Kama kweli nyie Ccm mnao mtetea huyo Diamond mna uwezo, kwanini msimpigie kura ashinde?Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.
Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.
Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.
Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?
Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?
Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?
Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?
Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.
Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Majibu ndio hayo, wanatumia uhuru wao kushawishi watu wasimpigie kura msanii fulani kwa sababu wanaamini alitumia sanaa yake kushawishi watu wamchague kiongozi wanaamini alikuwa hafai.Kila mtu anao uhuru mkuu ila si vibaya kuhoji, maana wapinzani wametulea katika mazingira ya kuhoji ndo mana namimi nimehoji.
Ni vyema sasa Nikapata majibu
Bora hata umemsaidia huyu kijana, mana alikuwa hajui alitendaloTatizo watu wengi wanapenda kutunga uongo juu mtu, hizo lyric mstari wa mwisho hazipo kwenye nyimbo zake.
Lyric ya nyimbo husika hii hapa:-
It's S2kizzy beiby)
(Ayolizer)
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao)
Majaliwa baba lao (Baba lao)
Bashiru baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Kona kwa kona, chocho tuchocho
Kwa wakubwa mpaka watoto
Magu anazidi pamba moto
Wapinzani matumbo joto
Mmechoka eti? (Aaah wapi)
Mnataka lala? (Aaah wapi)
Wapinznai watatuzidi? (Aaah wapi)
Wataweza huu muziki? (Aaah wapi)
Sasa twende kisa mjini sambamba
Magu anazidi bamba
Anafufua na viwanda
Ndege zetu tunapanda
Wataweza kweli? (Aaah wapi)
Kushindana nasi (Aaah wapi)
Hata wakiungana (Aaah wapi)
Matusi kututukana (Aaah wapi)
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao)
Olepole baba lao (Baba lao)
Mzee Mangula baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Majib Selema
Hadija Selema (Selema)
Wananchi wamesema
Tunashinda tena (Eeh tena)
Wanadhani kura mseleleko
Eeeh tunawakwepa
Watabaki masononeko
Eeeh tunawacheka
Kwanza kunja gaju (Eeh kunja gaju)
Nikupe mikakati (Eeh mikakati)
Ameleta mwendo kasi
Barabara juu na kati
Eeh shule za kata (Ni bure)
Sekondari (Ni bure)
Hospitali (Ni bure)
Kwa wazee (Ni bure)
Sisi twashinda tena
Sisi CCM twashinda tena eeh
Magu anashinda tena
Magu Magu anashinda tena eeh
Samia anashinda tena
Mama Samia anashinda tena
Sisi twashinda tena
Sisi CCM twashinda tena eeh
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Makonda baba lao (Mama lao)
Eri James baba lao (Baba lao)
Juma Mabogi baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Mzuka ukipanda
Na hili shati navua (Acha uongo)
Mzuka ukipanda
Na hili bukta navua(Acha uongo)
Jamani navua (Acha uongo)
Mama navua (Acha uongo)
Mwenzenu navua (Acha uongo)
Eeeh kuna BASATA!
Basi napiga Yope (Huwezi)
Oooh napiga Yope (Huwezi)
Magu napiga Yope (Huwezi)
Ma Samia napiga Yope (Huwezi)
Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh! Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh! Eeeh!
Wabunge napiga Yope (Huwezi)
Madiwani napiga Yope (Huwezi)
Wajumbe napiga Yope (Huwezi)
Wenyekiti napiga Yope (Huwezi)
Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh! Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh! Eeeh!
Mimi sio ccm mkuu, ni shabiki tu na mdau wa hii biashara ya muziki.Kama kweli nyie Ccm mnao mtetea huyo Diamond mna uwezo, kwanini msimpigie kura ashinde?
Mbona mna walalamikia wana harakati? Nyie ni wengi mpigieni kura ashinde muonyeshe nguvu yenu.
Andikeni barua nanyi huko BET kuonyesha kwamba huyu mhuni alie mkana baba yake ana singiziwa. Achaneni na wana harakati. Period!!!!
Nani kadhulumiwa mkuu, na kadhulumiwa nini na nani? Aombe radhi kwa kosa lipi?Kwani wewe unaona kutetea haki ya wwliodhulumiwa ni vibaya?
Kwa nini mhusika yuko kimya au asiombe radhi? Kila mtu ashindwe mechi zake
Daaaah... Kwa kweli nmeshangazwa Sana. Kumbe kosa la Diamond Ni kushiriki kampen za ccm au kuwa mwanaccm!!!!Too late man, that's a wake up call, mitandao siku hizi ina nguvu zaidi ya polisi na Ndugai, liwe funzo kwa Diamond mwenyewe na wasanii wenzake kina Harmonize, Kiba na wengine, ole wao tena washiriki kampeni za CCM, mbaya zaidi alijitutumua twitter hajawahi kushindwa vita ndio akajiharibia kabisa
AsanteDaaaah... Kwa kweli nmeshangazwa Sana. Kumbe kosa la Diamond Ni kushiriki kampen za ccm au kuwa mwanaccm!!!!
Mbona hizi Ni siasa za kishamba Sana hata kule Pemba wameziacha.. utakumbuka Pemba waligawana misikiti, maduka misiba na harusi, waliacha kuoleana na kusuhubiana kwa mnasaba wa itikadi za kidini kwamba CCM akifa au kufiwa basi akazikwe na wanaccm wenzie , akasali kwa wanaccm wenzie. Kifupi huu Ni ujinga kabisa kuliko hata upumbavu wenyewe. Tena inakuwa ujinga zaidi Kama kampeni hizi zinafanywa watu wanaopigania Uhuru wa kujieleza na kujiamulia Mambo yako ,demokrasia na usawa.
Hivi umewahi kujiuliza Kama shughuli unazofanya zikiamuliwa na itikadi ya kivyama utabaki salama!?
Kama wewe Ni muajiriwa basi bosi wako akiwa CCM akutoe atafute wakufanana nae, ukiwa na duka lako waje wanamageuzi tu CCM wasifike, familia yako mjigawe kwa misingi hiyo nduguzo wawe CDM tu aliyeko CCM apite kule ....itakuwaje!?
Hivi wewe unajitambua kweli!?
Mwenzio katumia Sanaa yake kutafuta tonge, katumia Uhuru wake kuchagua CCM, katumia uwezo wake kukampenia ccm. Ingekuwa ndio wewe wanaccm nao waamue kukuadhibu kwa kuipigania chadema ungejisikiaje fala were!??
Lengo si mlengwa ajifunze!!! Anajifunza nini sasa kama 2025 atarudia kilichowafanya mfanye haya!!!... 2025 ni mada nyingine! Hoja hapa ni chuki!
Kwamba hujui ni vipi Diamond ana kwamisha siasa zao? Nenda mitandaoni muone kama ana washabiki tena redioni au kwenye shereheMimi sio ccm mkuu, ni shabiki tu na mdau wa hii biashara ya muziki.
Na hapa hatuzungumzii wingi au udogo, hapa tunazungumzi ni kwa kiasi gani diamond anakwamisha siasa zao hadi wamfanyie hivi
Kwa nini next stop isiwe kwa Roma?Wasanii wanaojitambua duniani hawafanyu ujinga unaofanywa na wasanii wetu hapa Tz, wengi hujiweka mbali na siasa ili kuepuka kuwavuruga fans wao wanaoweza kuwa na itikadi tofauti.
Hawa wetu walizubaa akili zao muda mrefu sana sasa ndio wanaamshwa, next stop kwa wale wajinga bongo movie kina Steve Nyerere, Wema, Uwoya, na wenzao, hakuna kununua movie zao.
Imefika 20,000 mpaka muda huu nimeangaliaVipi wakuu, 15000 petiton ishafika? Keshatolewa?
Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.
Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.
Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.
Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?
Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?
Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?
Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?
Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.
Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Cdm wana watu kibao, hawahitaji support yoyote ya diamond. Halafu hili suala halina mahusiano na cdm, bali wapenda haki hawako tayari kumsupport mtu yoyote aliyekuwa upande wa kiongozi dhalimu.kwahiyo sasa unadhani akikosa 2025 ataisaport chadema[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
tusichoke kufikiri.
Mnahubiri uhuru hamuutaki watu wauishi.Cdm wana watu kibao, hawahitaji support yoyote ya diamond. Halafu hili suala halina mahusiano na cdm, bali wapenda haki hawako tayari kumsupport mtu yoyote aliyekuwa upande wa kiongozi dhalimu.