Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Hao wanaojiita Wanaharakati wanaoendaesha campaign dhidi ya Diamond ni wapumbavu tu ambao hawajawahi kuendesha campaign yoyote ikafanikiwa.

Hawana mchango kwa msanii yeyote hapa nchini. Mtu kama Maria Sarungi amesoma, amekula na kuishi kwa Kodi za wanyonge hawa hawa halafu anajifanya kuendesha campaign dhidi mtoto aliekulia kwenye lindi la umasikini na leo amejikwamua nae tunamuonea wivu.

Stupid!
Ndo akili za wasomi wetu Hizo, hawatatui matatizo ila wanaibua matatizo mapya kureplace yaliyokwepo
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Kama kweli nyie Ccm mnao mtetea huyo Diamond mna uwezo, kwanini msimpigie kura ashinde?
Mbona mna walalamikia wana harakati? Nyie ni wengi mpigieni kura ashinde muonyeshe nguvu yenu.
Andikeni barua nanyi huko BET kuonyesha kwamba huyu mhuni alie mkana baba yake ana singiziwa. Achaneni na wana harakati. Period!!!!
 
Kila mtu anao uhuru mkuu ila si vibaya kuhoji, maana wapinzani wametulea katika mazingira ya kuhoji ndo mana namimi nimehoji.

Ni vyema sasa Nikapata majibu
Majibu ndio hayo, wanatumia uhuru wao kushawishi watu wasimpigie kura msanii fulani kwa sababu wanaamini alitumia sanaa yake kushawishi watu wamchague kiongozi wanaamini alikuwa hafai.

Kwa ufupi, kila mtu atumie uhuru wake vile anavyoona inafaa, bila kuvunja sheria.

Diamond alitumia uhuru wake kuzunguka kumnadi Magufuli ambayo ni sawa kabisa na kumpinga Lissu.

Leo wanaharakati wanatumia uhuru wao kumpinga Diamond.

Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Tatizo watu wengi wanapenda kutunga uongo juu mtu, hizo lyric mstari wa mwisho hazipo kwenye nyimbo zake.
Lyric ya nyimbo husika hii hapa:-
It's S2kizzy beiby)
(Ayolizer)
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao)
Majaliwa baba lao (Baba lao)
Bashiru baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Kona kwa kona, chocho tuchocho
Kwa wakubwa mpaka watoto
Magu anazidi pamba moto
Wapinzani matumbo joto
Mmechoka eti? (Aaah wapi)
Mnataka lala? (Aaah wapi)
Wapinznai watatuzidi? (Aaah wapi)
Wataweza huu muziki? (Aaah wapi)
Sasa twende kisa mjini sambamba
Magu anazidi bamba
Anafufua na viwanda
Ndege zetu tunapanda
Wataweza kweli? (Aaah wapi)
Kushindana nasi (Aaah wapi)
Hata wakiungana (Aaah wapi)
Matusi kututukana (Aaah wapi)
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Ma Samia mama lao (Mama lao)
Olepole baba lao (Baba lao)
Mzee Mangula baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Majib Selema
Hadija Selema (Selema)
Wananchi wamesema
Tunashinda tena (Eeh tena)
Wanadhani kura mseleleko
Eeeh tunawakwepa
Watabaki masononeko
Eeeh tunawacheka
Kwanza kunja gaju (Eeh kunja gaju)
Nikupe mikakati (Eeh mikakati)
Ameleta mwendo kasi
Barabara juu na kati
Eeh shule za kata (Ni bure)
Sekondari (Ni bure)
Hospitali (Ni bure)
Kwa wazee (Ni bure)
Sisi twashinda tena
Sisi CCM twashinda tena eeh
Magu anashinda tena
Magu Magu anashinda tena eeh
Samia anashinda tena
Mama Samia anashinda tena
Sisi twashinda tena
Sisi CCM twashinda tena eeh
Magufuli baba lao (Baba lao)
Joseph baba lao (Baba lao)
John Pombe baba lao (Baba lao)
Magu baba lao (Baba lao)
Eeeh Makonda baba lao (Mama lao)
Eri James baba lao (Baba lao)
Juma Mabogi baba lao (Baba lao)
CCM chama lao
Mzuka ukipanda
Na hili shati navua (Acha uongo)
Mzuka ukipanda
Na hili bukta navua(Acha uongo)
Jamani navua (Acha uongo)
Mama navua (Acha uongo)
Mwenzenu navua (Acha uongo)
Eeeh kuna BASATA!
Basi napiga Yope (Huwezi)
Oooh napiga Yope (Huwezi)
Magu napiga Yope (Huwezi)
Ma Samia napiga Yope (Huwezi)
Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh! Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh! Eeeh!
Wabunge napiga Yope (Huwezi)
Madiwani napiga Yope (Huwezi)
Wajumbe napiga Yope (Huwezi)
Wenyekiti napiga Yope (Huwezi)
Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh! Eeeeeh!
Eh! Eh! Eh! Eh Eh! Eeeh!
Bora hata umemsaidia huyu kijana, mana alikuwa hajui alitendalo
 
Kama kweli nyie Ccm mnao mtetea huyo Diamond mna uwezo, kwanini msimpigie kura ashinde?
Mbona mna walalamikia wana harakati? Nyie ni wengi mpigieni kura ashinde muonyeshe nguvu yenu.
Andikeni barua nanyi huko BET kuonyesha kwamba huyu mhuni alie mkana baba yake ana singiziwa. Achaneni na wana harakati. Period!!!!
Mimi sio ccm mkuu, ni shabiki tu na mdau wa hii biashara ya muziki.

Na hapa hatuzungumzii wingi au udogo, hapa tunazungumzi ni kwa kiasi gani diamond anakwamisha siasa zao hadi wamfanyie hivi
 
Kwani wewe unaona kutetea haki ya wwliodhulumiwa ni vibaya?

Kwa nini mhusika yuko kimya au asiombe radhi? Kila mtu ashindwe mechi zake
Nani kadhulumiwa mkuu, na kadhulumiwa nini na nani? Aombe radhi kwa kosa lipi?

Mbona mama huyu hapa saivi tunamshangilia mbona hatuhoji kuwa akati mambo mabaya yanatokea alikuwa kimya?

Watu Weusi sometimes hatujui tunachokihitaji ni kipi na kwanini
 
Too late man, that's a wake up call, mitandao siku hizi ina nguvu zaidi ya polisi na Ndugai, liwe funzo kwa Diamond mwenyewe na wasanii wenzake kina Harmonize, Kiba na wengine, ole wao tena washiriki kampeni za CCM, mbaya zaidi alijitutumua twitter hajawahi kushindwa vita ndio akajiharibia kabisa
Daaaah... Kwa kweli nmeshangazwa Sana. Kumbe kosa la Diamond Ni kushiriki kampen za ccm au kuwa mwanaccm!!!!
Mbona hizi Ni siasa za kishamba Sana hata kule Pemba wameziacha.. utakumbuka Pemba waligawana misikiti, maduka misiba na harusi, waliacha kuoleana na kusuhubiana kwa mnasaba wa itikadi za kidini kwamba CCM akifa au kufiwa basi akazikwe na wanaccm wenzie , akasali kwa wanaccm wenzie. Kifupi huu Ni ujinga kabisa kuliko hata upumbavu wenyewe. Tena inakuwa ujinga zaidi Kama kampeni hizi zinafanywa watu wanaopigania Uhuru wa kujieleza na kujiamulia Mambo yako ,demokrasia na usawa.
Hivi umewahi kujiuliza Kama shughuli unazofanya zikiamuliwa na itikadi ya kivyama utabaki salama!?
Kama wewe Ni muajiriwa basi bosi wako akiwa CCM akutoe atafute wakufanana nae, ukiwa na duka lako waje wanamageuzi tu CCM wasifike, familia yako mjigawe kwa misingi hiyo nduguzo wawe CDM tu aliyeko CCM apite kule ....itakuwaje!?

Hivi wewe unajitambua kweli!?
Mwenzio katumia Sanaa yake kutafuta tonge, katumia Uhuru wake kuchagua CCM, katumia uwezo wake kukampenia ccm. Ingekuwa ndio wewe wanaccm nao waamue kukuadhibu kwa kuipigania chadema ungejisikiaje fala were!??
 
Daaaah... Kwa kweli nmeshangazwa Sana. Kumbe kosa la Diamond Ni kushiriki kampen za ccm au kuwa mwanaccm!!!!
Mbona hizi Ni siasa za kishamba Sana hata kule Pemba wameziacha.. utakumbuka Pemba waligawana misikiti, maduka misiba na harusi, waliacha kuoleana na kusuhubiana kwa mnasaba wa itikadi za kidini kwamba CCM akifa au kufiwa basi akazikwe na wanaccm wenzie , akasali kwa wanaccm wenzie. Kifupi huu Ni ujinga kabisa kuliko hata upumbavu wenyewe. Tena inakuwa ujinga zaidi Kama kampeni hizi zinafanywa watu wanaopigania Uhuru wa kujieleza na kujiamulia Mambo yako ,demokrasia na usawa.
Hivi umewahi kujiuliza Kama shughuli unazofanya zikiamuliwa na itikadi ya kivyama utabaki salama!?
Kama wewe Ni muajiriwa basi bosi wako akiwa CCM akutoe atafute wakufanana nae, ukiwa na duka lako waje wanamageuzi tu CCM wasifike, familia yako mjigawe kwa misingi hiyo nduguzo wawe CDM tu aliyeko CCM apite kule ....itakuwaje!?

Hivi wewe unajitambua kweli!?
Mwenzio katumia Sanaa yake kutafuta tonge, katumia Uhuru wake kuchagua CCM, katumia uwezo wake kukampenia ccm. Ingekuwa ndio wewe wanaccm nao waamue kukuadhibu kwa kuipigania chadema ungejisikiaje fala were!??
Asante
 
Mimi sio ccm mkuu, ni shabiki tu na mdau wa hii biashara ya muziki.

Na hapa hatuzungumzii wingi au udogo, hapa tunazungumzi ni kwa kiasi gani diamond anakwamisha siasa zao hadi wamfanyie hivi
Kwamba hujui ni vipi Diamond ana kwamisha siasa zao? Nenda mitandaoni muone kama ana washabiki tena redioni au kwenye sherehe
 
Tusiwe na shaka. Serikali ya JPM itampitisha diamond kubeba hiyo tuzo
 
Wasanii wanaojitambua duniani hawafanyu ujinga unaofanywa na wasanii wetu hapa Tz, wengi hujiweka mbali na siasa ili kuepuka kuwavuruga fans wao wanaoweza kuwa na itikadi tofauti.

Hawa wetu walizubaa akili zao muda mrefu sana sasa ndio wanaamshwa, next stop kwa wale wajinga bongo movie kina Steve Nyerere, Wema, Uwoya, na wenzao, hakuna kununua movie zao.
Kwa nini next stop isiwe kwa Roma?
 
Mondi anapoandamwa kiasi hiki msingi wake Ni kukubali kwamba CCM walishinda kiukweli na kwamba moja ya sababu Ni WASANII kusaidia kampeni akiwemo Sadala.

Kwa sababu Kama chama kinaamini hakikushindwa KIHALALI maana yake mchango wa Domo Ni mdogo Sana au haupo...Negligible...!!
Kama kinaamini na kukiri kushindwa ndipo watafanya tathmini kivip na kwa nini na hatimae wanabaini kumbe kulikuwa na mchango wa WASANII pia, hapo Sasa ndipo angeangaliwa Mondi

Naomba Sasa tuulizane CCM walishinda KIHALALI mpaka tusumbuke na mchango wa mtu Kama Diamond!?
Na je mchango wa Domo ulichangia kwa % ngapi.


Kama hoja Ni ku side na oppressors je Ni Mondi pekee!??
Samia je!?
Kikwete je.!?
Warioba je?
WASANII wengine je!?
Matajiri wakubwa je!?
Ndugu zetu!?
marafiki zetu je!?
majirani zetu je!?

Watanzania toka tumeacha kufikiri tumebaki na majungu na unafiki tu.
Let's think big..
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.

Kampigie ww kura hakuna aliyekukataza. Viongozi wapi unataka waongelee hilo jambo, kwani kuna mtu yoyote kaletwa na kiongozi huku mitandaoni? Kama ww umeletwa na kiongozi endelea kusimamia alichokutuma. Humu ndani mitandaoni watu wanampinga Diamond kwakuwa alisimama upande wa utawala dhalimu. Kwa kuwa yule kiongozi dhalimu alisema alishinda uchaguzi, shawishini hao waliompa kura kiongozi dhalimu wampigie kura Diamond.
 
kwahiyo sasa unadhani akikosa 2025 ataisaport chadema[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

tusichoke kufikiri.
Cdm wana watu kibao, hawahitaji support yoyote ya diamond. Halafu hili suala halina mahusiano na cdm, bali wapenda haki hawako tayari kumsupport mtu yoyote aliyekuwa upande wa kiongozi dhalimu.
 
Cdm wana watu kibao, hawahitaji support yoyote ya diamond. Halafu hili suala halina mahusiano na cdm, bali wapenda haki hawako tayari kumsupport mtu yoyote aliyekuwa upande wa kiongozi dhalimu.
Mnahubiri uhuru hamuutaki watu wauishi.

Kama chadema haihusiani na harakati hizo za kupuuzi iko wapi kukanusha/kukemea??
Kaongea makamu mwenyeki, na leo lema pia kaandika, chama kinaendelelea na kampeni ya kuchangisha hela wafuasi ndama.
 
Back
Top Bottom