Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa Hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Kwani nawe ni mtumishi wake,ama vinginevyo sii kwa upofu huo, kwani huwa apendae hata chongo huita kengeza.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽
Huu uzi wakipumbavu na umeandaliwa na mjinga wa ccm.

1. Watanzania kila mmoja anahaki kutoa maoni yake.

2. Chadema hawana uhusiano kama chama Kwenye sakata hili

3. Uhuru, haki na Amani .... matunda kila mtanzania angeyatamani kuyafurahia


Uhuni wa wasanii kila nyakati za uchaguzi kujiweka ccm na kuwabagua watanzania wengine ni ujinga na upumbavu

Ikumbukwe na ieleweke wazi, msaani yeyote anawashabiki katika vyama vyote na pia kwawasio na vyama

Act, Chadema, ccm, cuf, NCCR nk,

Msanii anapojifungamanisha na ccm pekee na kuwatukana wale wengine wote,anajiharibia.

Namaanisha yeye anajirasmisha kuwa Mali ya ccm na hivyo basi mashabiki wake ni ccm..... waliobakia wote nje ya ccm anakuwa amewakanana

Waliobakia wote, haramu kwa msanii huyo. Hii concept ya cdm unaipataje hapa? Hawa wengine unawaweka wapi?

Kauli ya kuwafungamanisha cdm na kuwaacha wengine wote kama cuf, nccr, Act, Tlp nk ni upumbavu wa uccm na propaganda za kijinga.
 
Kwanza thibitisha madai yako kwamba hiyo ni move ya Chadema

Tena weka ushahidi

Tutajadili mengine yote, ila tuthibitishie Chadema unawahusishaje na kwa ushahidi gani
Walioanzisha kampeni mitandaoni ni wanaharakati wa cdm hili unalijua vizuri sana.

Sababu yao kubwa ni kuwa Diamond alishiriki mambo kadhaa ikiwemo kampeni kwa ccm
 
Kwani nawe ni mtumishi wake,ama vinginevyo sii kwa upofu huo, kwani huwa apendae hata chongo huita kengeza.

Sawa mkuu, basi tueleze Diamond anawakwamisha wapi kwenye harakati zenu
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa Hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
JamiiForums-2005399382.jpg
 
Elewa dada, hawatakiwi kujihusisha na siasa ili wasiwavuruge fans wao wenye itikadi tofauti.
𝙸𝚔𝚘 𝚜𝚒𝚔𝚞 𝚖𝚝𝚊𝚔𝚞𝚓𝚊 𝚔𝚞𝚗𝚞𝚗𝚊 𝚔𝚒𝚜𝚊 𝚑𝚊𝚓𝚊𝚖𝚞𝚘𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚌𝚑𝚊𝚍𝚎𝚖𝚊
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa Hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.

Walioanzisha kampeni mitandaoni ni wanaharakati wa cdm hili unalijua vizuri sana.

Sababu yao kubwa ni kuwa Diamond alishiriki mambo kadhaa ikiwemo kampeni kwa ccm

Chama cha siasa kinaongozwa na wanaharakati?

Hebu weka kifungu cha katiba ya Chadema kuthibitisha huu ujinga wako
 
Kimsingi ni kwamba petition ya kumkataa Diamond imefanikiwa kwani hadi sasa wamesaini zaidi ya watu 12,000 na mimi nikiwa mmoja wao.

Hii thread yako ni dalili ya mafanikio la sivyo ungeipuuza, hivyo well done mitandao.

By the way, mimi siyo mwanaharakati au mwanasiasa.


Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa Hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
 
Unapo simama na upande usio wa haki una poteza yote kutoka kwa wapenda haki na ustawi wa taifa.
Okay, umetumia vigezo gani kubaini Upande aliosupport yeye ulikuwa si wa haki.

Lakini si yeye tu alieshiriki,
Mbona sijaona kampeni ya kuzuia watu wasiende kwenye show za wasanii walioshiriki kampeni za ccm? Kama analengwa yeye tu na wengine Wanaachwa hii tutaitofautishaje na wivu.
 
WASANII (WANA SANAA)
...CCM Chama imara, kimeleta ukombozi Afrika, kinahimiza maendeleo kwa Watanzania.

WASHOBOKAJI SASA...!!
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi, chinja, mashoga hao.
Wataweza kweli aah wapii, kushindana nasi aah wapi. Tuna Polisi tuna jeshi wamekwishaa!
Kila mtu ashinde mechi zake halafu tuone mwisho itakuwaje
 
Kimsingi ni kwamba petition ya kumkataa Diamond imefanikiwa kwani hadi sasa wamesaini zaidi ya watu 12,000 na mimi nikiwa mmoja wao.

Hii thread yako ni dalili ya mafanikio la sivyo ungeipuuza, hivyo well done mitandao.

By the way, mimi siyo mwanaharakati au mwanasiasa.
Wewe umefanya kwa sababu zipi mkuu, ili tukuondoe pia kwenye group la wafata mkumbo, maana umeshasema si mwanasiasa na si mwanaharakati.
 
View attachment 1810513

Swali langu ni moja tu...je huyo Sadala angeweza kuhudhuria mikutano ya Watanzania wenye itikadi tofauti na hicho chama cha watekaji, watesaji na wauwaji hata kama angealikwa?

Kama jibu ni hapana, basi ni mahaba kwa CCM ndiyo yalimshawishi kuvalishwa kofia na huyo dhalimu. Hivyo mwacheni avune alichopanda...huwezi kupanda limau ukavuna nanasi!
𝙺𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚠𝚎𝚢𝚎 𝚜𝚑𝚎𝚛𝚒𝚊 𝚣𝚎𝚝𝚞 𝚣𝚒𝚗𝚊𝚔𝚊𝚝𝚊𝚣𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚒𝚒 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚌𝚑𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚞 𝚔𝚞𝚜𝚑𝚊𝚋𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚌𝚑𝚊𝚖𝚊? 𝙷𝚒𝚢𝚘 𝚗𝚒 𝚑𝚊𝚔𝚒 𝚢𝚊𝚔𝚎 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚒𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚠𝚠 𝚑𝚊𝚔𝚒 𝚢𝚊𝚔𝚘.
 
Naona unachanganya biashara na haki. Yule ni mfanyabiashara, na mfanyabiashara yeyote anafata masirahi. Weka hii akilini
Naam, na maslahi akayapata kwa kuridhia kupoteza wateja wake wenye itikadi tofauti na mteja anayempa faida kubwa. Wala haina shida, maadamu faida aliipata.
 
Walioanzisha kampeni mitandaoni ni wanaharakati wa cdm hili unalijua vizuri sana.
Sababu yao kubwa ni kuwa Diamond alishiriki mambo kadhaa ikiwemo kampeni kwa ccm
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki. Wanaharakati ni watu wanaodai uhuru, haki na usawa na utawala unaoheshimu, kulinda na kuitetea Katiba.

Kama huyo msanii wako akachagua upande wa watekaji, watesaji na wauwaji wa Watanzania wenye misimamo tofauti kisiasa huo ni uamuzi wake.

Watanzania walipotekwa alikuwa kimya, walipoteswa alikuwa kimya, walipopotezwa hakupaza sauti...hii ina maana kuwa aliwaunga mkono wahusika.

Halafu leo anawataka hao hao waliopitia machungu huku yeye akiwa kimya wamuunge mkono katika kutafuta umaarufu kupitia mgongo wao, ili iweje?

Hiyo tuzo itawarudishia uhai wapendwa wao? Hiyo tuzo itawaponyesha vilema wa maungo? Hiyo tuzo itawafuta machozi wazazi, ndugu na marafiki wa waliopotezwa?

Acheni ujinga, huyo na usanii wake tupa kule...kama mnampenda mkanywe naye chai huko kuzimu aliko huyo dhalimu anayemvisha kofia.
 
Back
Top Bottom