Huu uzi wakipumbavu na umeandaliwa na mjinga wa ccm.
1. Watanzania kila mmoja anahaki kutoa maoni yake.
2. Chadema hawana uhusiano kama chama Kwenye sakata hili
3. Uhuru, haki na Amani .... matunda kila mtanzania angeyatamani kuyafurahia
Uhuni wa wasanii kila nyakati za uchaguzi kujiweka ccm na kuwabagua watanzania wengine ni ujinga na upumbavu
Ikumbukwe na ieleweke wazi, msaani yeyote anawashabiki katika vyama vyote na pia kwawasio na vyama
Act, Chadema, ccm, cuf, NCCR nk,
Msanii anapojifungamanisha na ccm pekee na kuwatukana wale wengine wote,anajiharibia.
Namaanisha yeye anajirasmisha kuwa Mali ya ccm na hivyo basi mashabiki wake ni ccm..... waliobakia wote nje ya ccm anakuwa amewakanana
Waliobakia wote, haramu kwa msanii huyo. Hii concept ya cdm unaipataje hapa? Hawa wengine unawaweka wapi?
Kauli ya kuwafungamanisha cdm na kuwaacha wengine wote kama cuf, nccr, Act, Tlp nk ni upumbavu wa uccm na propaganda za kijinga.