Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
Hawa watu wanatuchanganya mkuu, Wako bungeni miaka kibao leo wanataka mapishi yaliyowashinda wao wakati wako jikoni wamtwishe Diamond.

Yani Diamond leo ndo kawa sababu ya chama fulani kutofanikiwa katika mambo fulani.
Kila jambo lina mwanzo, tumeamua kuanza na Sadala na wengine watafuata baadaye!

Yeye alimtukuza Magufuli ambaye alikuwa jambazi la kisiasa na muuaji kuwa ni baba lao na sisi tunataka kumuonyesha kuwa ni baba lao katika sanaa zake!
 
nyau Mweusi.jpg
 
Okay, kwa mantiki iyo wananchi wote Tz ni chadema na diamond kawazarau?

Naona umezunguka zunguka tu, kapitie vizuri ujibu nilichokiuliza. Diamond amemkwamisha nani na kwanamna ipi?
Diamond kakwamisha democracy kwa kusimama na wakandamiza democracy, sie watetez wa democracy lazima tusimame against
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa Hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Saga kunguni shwain! Hili litakuwa leson learned kwo Mondi
 
Kila jambo lina mwanzo, tumeamua kuanza na Sadala na wengine watafuata baadaye!

Yeye alimtukuza Magufuli ambaye alikuwa jambazi la kisiasa na muuaji kuwa ni baba lao na sisi tunataka kumuonyesha kuwa ni baba lao katika sanaa zake!
Sawa mkuu kila lakheri
 
Mkuu unataka kusema Abood Mabasi yake hayana wateja, Mwana FA mziki wake hausikilizwi pia gwajima kanisa lake sasa ivi halina waumini.

Au nataka kutuambia kuwa wanaccm wasi support mziki wa professor J kwa sababu ni wa upande wa pili

Hujajibu maswali ya msingi umeanza kutapika vitu vingine

👇
1. Unaushahidi wa unachokiongea hapa

2. Wa Chadema na kiongozi gani ametamka?

3. Nccr, cuf, Act, tlp nk wapo kundi lipi na kwa ushahidi upi?

4. Alipokuwa anapanda majukwa ya ccm lini alipanda majukwa ya Nccr, cuf, Act, tlp nk ili kuwapa watanzania wa itikadi zote haki ya usawa? Nini kinakufanya usiyaone hayo makundi mengine?
 
Hatarii me nshasema,, hakuna kipindi ambacho watu watauwawa openly kama siku chadema akichukua nchi,, yaan they hate openly,, na walivyo wajanja hawajawah kukosa sababu ya kumchukia au kumkwamisha mtu
Hujafanya utafiti!
Chama kunchoongoza kuua wanachama wa upinzani nchini ni ccm. Lakini wapinzani bado hawajawahi kulipa kwa uzito sawa. Nadhani siku ikifikia hatua ya malipo sawa akili itakukaa sawa kwamba kati ya wapinzani na ccm nani wabaya?
 
Hujajibu maswali ya msingi umeanza kutapika vitu vingine

👇
1. Unaushahidi wa unachokiongea hapa

2. Wa Chadema na kiongozi gani ametamka?

3. Nccr, cuf, Act, tlp nk wapo kundi lipi na kwa ushahidi upi?

4. Alipokuwa anapanda majukwa ya ccm lini alipanda majukwa ya Nccr, cuf, Act, tlp nk ili kuwapa watanzania wa itikadi zote haki ya usawa? Nini kinakufanya usiyaone hayo makundi mengine?
Hakuna swali la kujibu hapo mkuu
 
Saga kunguni shwain! Hili litakuwa leson learned kwo Mondi
Tukiachana na hao wengine na maoni yao, labda wewe unalaziada ambalo ungependa ajifunze huyu mtu mwenye uhuru kama ulionao wewe?
 
Nikushauri

Hapa humsaidii msanii wako ndio unamaliza kabisa.

Debate za aina hii zinawafunguwa watu kutambua mengi yaliyojificha nyuma ya pazia

Hivi vithread ndio mnamzika kabisaa
 
Nikushauri

Hapa humsaidii msanii wako ndio unamaliza kabisa.

Debate za aina hii zinawafunguwa watu kutambua mengi yaliyojificha nyuma ya pazia

Hivi vithread ndio mnamzika kabisaa
Hayo ya nyuma ya pazia ndo yanahitajika mkuu, yaweke wazi tu tuyafahamu
 
Mkuu unataka kusema Abood Mabasi yake hayana wateja, Mwana FA mziki wake hausikilizwi pia gwajima kanisa lake sasa ivi halina waumini.

Au nataka kutuambia kuwa wanaccm wasi support mziki wa professor J kwa sababu ni wa upande wa pili
Wewe ni mpumbavu, wapi hao wapinzani wamegusia kususia kazi za wasanii.

Tuzo sio kazi ya mziki .
Tuzo ni heshima!
Tuzo ni kutambua mchango wa contestant.

Diamond jamii imeshindwa kuutambua mchango wa mafanikio yake katika eneo la haki zao za msingi za kuishi kwa kuwasaidia wauwaji kunawiri.

Hafai kutuzwa tuzo ya hishma kama BET
 
kwa mtazamo wangu hiyo ni mbinu ya kumpatia tuzo huyo diamond...........atachukua, mark my words. huu ni mchezo tu
 
Wewe ni mpumbavu, wapi hao wapinzani wamegusia kususia kazi za wasanii.

Tuzo sio kazi ya mziki .
Tuzo ni heshima!
Tuzo ni kutambua mchango wa contestant.

Diamond jamii imeshindwa kuutambua mchango wa mafanikio yake katika eneo la haki zao za msingi za kuishi kwa kuwasaidia wauwaji kunawiri.

Hafai kutuzwa tuzo ya hishma kama BET
Unaweza kutusaidia hao wauwaji aliowasaidia ni kina nani ili nasisi tuwajue, bila kusahau aliwasaidia nini hao wauaji
 
𝚄𝚙𝚊𝚗𝚍𝚎 𝚞𝚜𝚒𝚘 𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚒 𝚔𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚘𝚗𝚘 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚋𝚘𝚝𝚑𝚎𝚛..! 𝚠𝚊𝚙𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊 𝙸𝚜𝚛𝚊𝚎𝚕 𝚗𝚒 𝚑𝚊𝚔𝚒 𝚢𝚊𝚘 𝚔𝚞𝚛𝚞𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚊𝚔𝚘𝚖𝚋𝚘𝚛𝚊 𝙶𝚊𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚠𝚊𝚞𝚊 𝚆𝚊𝚙𝚎𝚕𝚎𝚜𝚑𝚒𝚗𝚊 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚙𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚆𝚊𝚙𝚊𝚕𝚎𝚜𝚝𝚒𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊 𝚑𝚊𝚔𝚒 𝚔𝚞𝚕𝚒𝚙𝚒𝚐𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚃𝚊𝚒𝚏𝚊 𝚕𝚊𝚘.
Haki haina kificho ndugu ukiona unashindwa kuitambua haki,just una matatizo tena sii magodo,ila makubwa.
 
Unaweza kutusaidia hao wauwaji aliowasaidia ni kina nani ili nasisi tuwajue, bila kusahau aliwasaidia nini hao wauaji
Wewe ni mpuumbavu kabisa.
Hebu anza na wale wazanzibari kwanza waliouwawa na chama cha mapinduzi
Kwenye uchaguzi pendwa wa ccm 2020
 
Back
Top Bottom