Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usemi kuwa Mungu sii Athumani ,una maana Sana,kuwa binadamu sii wa kutenda haki wakati wote,ila Mungu pekee.Binadamu aweza kutenda bila kujua kama anaathiri wengine nakuona ni sawa kwa kadiri ya uelewa wake.Okay, umetumia vigezo gani kubaini Upande aliosupport yeye ulikuwa si wa haki.
Lakini si yeye tu alieshiriki,
Mbona sijaona kampeni ya kuzuia watu wasiende kwenye show za wasanii walioshiriki kampeni za ccm? Kama analengwa yeye tu na wengine Wanaachwa hii tutaitofautishaje na wivu.
Sikiliza wewe kilaza, sijaona popote Chadema ilipoweka msimamo kama chama kuhusu jambo hili. Si ajabu hata wewe dakika hii kwa akili fupi unaamini mimi ni Chadema, kisa? Simkubali huyo mfuasi na mpenzi mkubwa wa mwendazake.Lissu ni mwanaharakati au ni kiongozi wa Chadema?Ukijibu hili swali utajielewa kama wewe ni Nyumbu au binadamu wa kawaida
Yutaelewana tu we mwehuWivu, roho mbaya na umasikini vinaenda sambamba
Kama ulijitia upofu ukashindwa kuona, utaweza kujua kwa kuambiwa?Nami nijue ndugu yangu ili tuwe kwenye msitari mmoja
Eti, Magufuli baba lao, Makonda baba lao...Kama hivi
WASHOBOKAJI SASA...!!
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi, chinja, mashoga hao.
Wataweza kweli aah wapii, kushindana nasi aah wapi. Tuna Polisi tuna jeshi wamekwishaa!
Umaskini ni kitu kibaya sana,unafanya watu wanakuwa na roho mbaya sanaMwendazake ndio kwisha
Hayupo tena
kwisha kwisha kwisha
Mkuu hayupo huyo, Acha uhuru wa watu, Tusipangiane cha kufanya
Aliwazoesha vibaya Mwendazake
Hayupo huyo, Amka amka Amka
Amka amaka hayupo
subiria mkuu, inakuja!Twaingoja mkuu
Ngozi nyeusi kwa wivu, vijicho, kubaniana, husuda ni tabu sana. Wanaona Mondi kawazidi kimaisha kwa hiyo ili kumkomoa wafanye kampeni dhidi yake.ngozi nyeusi ni shida. kuharibiana ndo mchongo.
Unasumbuliwa na utoto kijana, wengine tumeanza kutetea na kudai haki hata kabla ya CCM kuzaliwa mwaka 1977! Toka enzi hizo hatujatetereka katika maswala yanayohusu utawala unaozingatia sheria. Kwa bahati mbaya CCM imehakikisha hatuna utawala mwingine tunaoweza kuurejea na kuulinganisha nao.Soma comments taratibu utagundua hiyo mijadala ya watu wanao jiita ma GT ilivyo ya ajabu.
Itakuwa funzo kwa Diamond.. kutokusimama na oppressors. Angalia walichofanya wasanii wa Nigeria dhidi ya serikali yao halafu alichokuwa anafanya Diamond.
Anastahili kuendelea kusagiwa kunguni.. Itakuwa ni funzo la yeye kutokudharau wananchi anatakiwa ajue msanii ni kioo cha jamii