Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Kwani wananchi ni Chadema,na kipi kinachowafanya muamini nyie ndo mko sawa na wala sio yeye,ila namsifu dogo yaani hajataka hata kuwajibu yaani kuiweka level yake juu zaidi ya mgombea mmoja wa uraisi yule kichaa wa ubelgiji
Kwani sasa kashindwa,kwa kipimo gani kilichoonyesha kashindwa,nyie ndo mmejionyesha msivyo na akiliToo late man, that's a wake up call, mitandao siku hizi ina nguvu zaidi ya polisi na Ndugai, liwe funzo kwa Diamond mwenyewe na wasanii wenzake kina Harmonize, Kiba na wengine, ole wao tena washiriki kampeni za CCM, mbaya zaidi alijitutumua twitter hajawahi kushindwa vita ndio akajiharibia kabisa.