Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kabla hujaandika naomba uwe una jaribu kuvuta kumbukumbu kidogo!

Ni kwamba...Chadema kupitia mgombea wao wa urais ndugu Lissu!...2020,alitamka wazi kwamba "chadema hawataki maendeleo ya watu na sio vitu"

Nini maana yake hiyo?
 
Bahati mbaya hilo andiko la kuheshimu mamlaka halikutoa nafasi ya kutuambia mamlaka tunazopaswa kuziheshimu ni zipi, wala jinsi zilivyopatikana, andiko limetubana tuheshimu mamlaka zilizo juu yetu, full stop.

Kuanza kulijadili hilo andiko hapa kwa sasa naona ni sawa na kumkufuru Mungu, au kuwafundisha wale waliotuletea maandiko, na hicho ni kinyume cha kuwa muumini.
 
Unauliza maswali kama una mtindio wa ubongo! Kwani huyo Rais ni Padre au Askofu wa Kanisa Katoliki mpaka na yeye awe na kiti chake maalum wakati wa ibada! Wewe ukienda Kanisani kwako huwa unakaa na Mchungaji wako kule mbele?

Huyu Rais akienda msikitini huwa anakaa na Imam kule mbele, kwa sababu ya Urais wake? Au anakaa upande wa wanaume kwa sababu yeye ni Rais wa nchi na Amiri jeshi mkuu, anaye watawala watu wa jinsia zote?

Kila sehemu ina utaratibu wake! Hivyo na Rais naye alitakiwa kufuata utaratibu. Unapokuwa ndani ya nyumba ya ibada, cheo na mamlaka yako hubakia nje! Na hivyo mwenye mamlaka ndani ya nyimba ya ibada ni Padre/Askofu wa Kanisa.
 
Kabla hujaandika naomba uwe una jaribu kuvuta kumbukumbu kidogo!

Ni kwamba...Chadema kupitia mgombea wao wa urais ndugu Lissu!...2020,alitamka wazi kwamba "chadema hawataki maendeleo ya watu na sio vitu"

Nini maana yake hiyo?
Rekebisha, alisema wanataka maendeleo ya watu. Na sio ulichoandika. Maendeleo ya watu, ni wao ndio wanaamua ni miradi gani itekelezwe, na wapi itekelezwe kulingana na vipaumbele vyao na sio vipaombele ya rais. Mfano mrahisi, ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ulikuwa ni maendeleo ya vitu na sio maendeleo ya watu.
 
Sakramenti kwa nini mapadri,maaskofu na Papa huwa wao pekee wanakula mkate na divai wakati Yesu wote aliwapa mkate na divai kwenye Karamu yake kwa nini mapadri,maaskofu na Papa hududumia divai peke yao? Na kuwagawia waumini mkate pekee wameze na mate? Yesu wakati Yesu hakufanya hilo?
 
Mkubwa angalau hapa jukwaani una kaheshima flani, sasa unaelekea kuwa kama akina johnthebaptist. Hebu tuwekee tamko lolote la kulaani Rais kuwa na kiti chake Kanisani kule Bukoba kutoka chama chochote cha siasa.
 
Usichukuwe fairlier moja na kuifanya iviruge yale mazuri mengine ambayo hadi sasa yanaendelea kuwanufaisha watanzania.

Hata China tunayoisifia kwa sasa,Mao xedong alifanya mazuri mengi na kuweza kuibadili China katika mapinduzi ya kilimo na viwanda,lakini pia kuna mengi sana ambayo yaliumiza watu na hata kuwasababishia vifo kwa mamia.

Lakini leo kizazi kinachofaidi hakikumbuki nini kibaya kilichotokea bali wanamuenzi kama shujaa na alama ya China.
 
Nimetumia jumuishi kwa sababu humu JF ....msemaji wa Chadema ndiye huyohuyo Erythrocyte ambaye ameanzisha ule uzi jana jioni mkuu!

Sio msemaji wa CDM bali ni active member ndani ya jamii forums, na anatoa maoni yake kwa kufuata sheria zote za jamii forums bila kumtukana mtu. Hizi hisia zako ndio zinazopelekea hitimisho bovu.
 
Mkubwa angalau hapa jukwaani una kaheshima flani, sasa unaelekea kuwa kama akina johnthebaptist. Hebu tuwekee tamko lolote la kulaani Rais kuwa na kiti chake Kanisani kule Bukoba kutoka chama chochote cha siasa.

Kuna siku alisifiwa humu ndani na mwanaccm, hivyo anajaribu kubalance ili wasimnyime sifa walivyokwisha mpa.
 

Kwani hilo andiko lako kila mtu analiamini? Au hilo andiko lilisema cha kuambiwa usichanganye na zako?
 
Am very sorry. Sina muda wa kukufafanulia mtu wa Mataifa. Maana hata nitumie siku nzima, utasimama tu kwenye huu msimamo wako.

Ila kwa ufupi, sisi waumini tunaridhika kula mkate tu. Maana siku zote damu inapatikana ndani ya nyama, na siyo nyama ipatikane ndani ya damu. Kwa mkatoliki, atanielewa! Ila kwa Mkatekumeni kama wewe, kamwe hutaelewa.
 
Hivi kupings hoja au kitu ni kufanyaje?hivi hakuna tofauti kati ya kupings na kukosoa?CCM acheni dhana potofu ,palr serikali au viongozi eanapokosoleea utendaji au kauli zao msiuuvike kuwa ni upinzani Bali jisahihisheni kwa kumenzi Julius mogendi kambarage nyerere
 
Mkubwa angalau hapa jukwaani una kaheshima flani, sasa unaelekea kuwa kama akina johnthebaptist. Hebu tuwekee tamko lolote la kulaani Rais kuwa na kiti chake Kanisani kule Bukoba kutoka chama chochote cha siasa.
Nimetumia neno upinzani nikimaanisha kiongozi wa upinzani, kuniona johnthebaptist sijakukataza, ni haki yako.

Thn kama umetambua nina heshima ni vizuri zaidi, naamini wengi wanaiona kama unavyoiona.
 
Kuna siku alisifiwa humu ndani na mwanaccm, hivyo anajaribu kubalance ili wasimnyime sifa walivyokwisha mpa.
Huwa una mihemko sana, nimeshakuzoea, una ujuaji mwingi lakini kimsingi sioni chochote unachojua, uko petty sana.

Suala la mimi kusifiwa kama linakuuma sana pole, usiniletee wivu wako wa kike, ila usitegemee mimi kufanana nawe kimsimamo na mtazamo hata siku moja.

Mimi sio jiwe kama wewe, najua kutazama ukweli ulipo na kuukubali bila kujali nimeambiwa na nani, vivyo hivyo, nami kusema nachoamini bila kujali nitamkera nani, sikuja huku kukufurahisha wewe na wenzako.

Mimi sio wa kutengeneza makundi ya kishabiki wa kitoto yaninyime uhuru wa kufikiria, am a free minded person.
 
Kwani hilo andiko lako kila mtu analiamini? Au hilo andiko lilisema cha kuambiwa usichanganye na zako?
Huu ndio ujuaji ninaokwambia umekujaa kichwani, kama ulini "quote" ili nisikujibu ungeandika pale chini, dogo punguza wenge.

Sijakwambia kila mtu analiamini hilo andiko, ulichotakiwa kuniambia ni kule mwanzo ungesema wewe ni mpagani huamini maandiko, mchezo ungeishia pale, sio kuniletea ligi zako za kitoto ulizozoea.

Umejaa thinking ya kitoto sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…