Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Kwamba mtu akiwa singo maza tu automatically.anakua much know?
Ambao sio singo maza hakuna much know?
Unaanza ubishi sasa. Unaona sasa kwann wanaume wanashambulia single mothers sababu hampendi kusikiliza maoni yao. Na hii ndio huitwa ujuaji. Maana unakuwa unahoji as if una majibu yote sasa unashangaa kwann mtu anakukatalia unachokijua wewe.
 
Huwa sipendagi kuchangia mada za single mothers, maana zinahusu hisia sana.

Sio kwamba sinaga vya kuongelea, la hasha, nachagua tu kuwa msomaji.

Ninachoweza sema, wanaoponda single mothers huwa wanasababu zao, na pia single mothers wanaoponda wanaume, nao wanasababu zao. Na sometime pande zote mbili huwa na sababu zenye mashiko.

Ninachoweza kukwambia Clepatina huwezi kuyaelewa maumivu halisi ya single mothers kwa kusoma habari zao humu JF jinsi wanavyo nangwa. Na pia huwezi elewa maumivu ya upande wa pili kwa kuangalia maandiko jinsi wanavyo wananga single mothers
Hii kwenye hesabu wanaita 10 - 10 = 0. Yaani umebalance mwisho wa siku haujaweka maoni yako binafsi umeongea kiuoga imeshindikana kujulikana unasimama upande gani.
 
Back
Top Bottom