Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Kivipi,?hapo mlipofika tunatakiwa kujua kabisaa mi niite wanakamati wenzangu Amehlo Mrs Lissu Depal Shunie niwaeleze mdogo wangu anaolewa na Gily .........NB.. wanakamati tafadhali cheo changu kiheshimiwe
NB: imezingatiwa

Kamati ya vinywaji hapa, plus shemeji Gily ni team ile ile. Nawahikikishia mtarudi nyumbani mnatambaa 🤣🤣
 
Ila kijana una vocal Sana,mdogo Clepatina wangu alikuwa mgumu Kama boflo,kumbe hakuna boflo gumu mbele ya chai,the teh tehhh Shem karibu nyumbani
Sisy you are too fast.
Bado sijakubali🤣.
Halafu familia nzima mshatuvamia mnaniaibisha🤣.
Mtanikatishia tamaa noble man wangu😭😭
 
🤣🤣🤣🤣🤣Bwana harusi tapeli?

NB: imezingatiwa

Kamati ya vinywaji hapa, plus shemeji Gily ni team ile ile. Nawahikikishia mtarudi nyumbani mnatambaa 🤣🤣

Wanakamati wamefika,Ila Wana wasiwasi hamna NDOA hapo,Sasa sijui bwana harusi ana shida gani🤔🤔🤔🤔🤔

😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha

Why ndugu zanguni?
Sina thamani ya mahari kamili?😭

Team nyama choma hapa Gily

$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa pia

Bwana harusi ni BAD NEWS🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnampa stress muachen jaman🤣

Hajawai kuwa na stress labda uanze kumpa wewe

Itabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂

Dada wa familia ya bi harusi nasemaje,,,nyama ziwe nyingi kuliko maua
Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃
 
Back
Top Bottom