HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hata akionesha hapaswi olewaMakubaliano ni yale yale mpk aoneshe kaburi la baba mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata akionesha hapaswi olewaMakubaliano ni yale yale mpk aoneshe kaburi la baba mtoto
Wanakamati wamefika,Ila Wana wasiwasi hamna NDOA hapo,Sasa sijui bwana harusi ana shida gani🤔🤔🤔🤔🤔Sawa dada ila bado hatujafikia huko kwa kuita watu.
Tulieni kwanza nawaomba tusije tukaaibika🙏
Ukiwa na koment ya dhihaka kama hii mkuu kwa heshima usini quoteWasimbe hawaendi mbinguni
😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha🤣🤣🤣🤣🤣Bwana harusi tapeli?
$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa piaKwani mahari ni shilling ngapi? maana isije kuwa kama anahitaji moyo wangu😀
Bwana harusi ni BAD NEWS🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha
😅Umenielewa vibaya Dada mdogo huo n mgawanyo wa mahari alafu si unajua sio lazima ilipwe yote at onceWhy ndugu zanguni?
Sina thamani ya mahari kamili?😭
Sawa sawa,hiyo inafaa hiyo kaza humohumo$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa pia
Hajawai kuwa na stress labda uanze kumpa weweMnampa stress muachen jaman🤣
Itabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂Sawa sawa,hiyo inafaa hiyo kaza humohumo
Sema Nini,wasinywe pombe kabla ya maongezi tuwape Pepsi Pepsi na mirinda kwanzaItabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂
😏😏🤔🤔I feel blessed.,🤩
Thank you my billionaire🤩
🤣🤣🤣🤣🤣Bwana harusi tapeli?
NB: imezingatiwa
Kamati ya vinywaji hapa, plus shemeji Gily ni team ile ile. Nawahikikishia mtarudi nyumbani mnatambaa 🤣🤣
Wanakamati wamefika,Ila Wana wasiwasi hamna NDOA hapo,Sasa sijui bwana harusi ana shida gani🤔🤔🤔🤔🤔
😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha
Why ndugu zanguni?
Sina thamani ya mahari kamili?😭
Team nyama choma hapa Gily
$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa pia
Bwana harusi ni BAD NEWS🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnampa stress muachen jaman🤣
Hajawai kuwa na stress labda uanze kumpa wewe
Itabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂
Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃Dada wa familia ya bi harusi nasemaje,,,nyama ziwe nyingi kuliko maua