Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Hana taarifa dada.
Nasubiri nione dalili za kimbingu ndo niwajulisheni ndugu zangu🙏
Sitaki kukurupuka
Kivipi,?hapo mlipofika tunatakiwa kujua kabisaa mi niite wanakamati wenzangu Amehlo Mrs Lissu Depal Shunie niwaeleze mdogo wangu anaolewa na Gily .........NB.. wanakamati tafadhali cheo changu kiheshimiwe
 
Huwa sipendagi kuchangia mada za single mothers, maana zinahusu hisia sana.

Sio kwamba sinaga vya kuongelea, la hasha, nachagua tu kuwa msomaji.

Ninachoweza sema, wanaoponda single mothers huwa wanasababu zao, na pia single mothers wanaoponda wanaume, nao wanasababu zao. Na sometime pande zote mbili huwa na sababu zenye mashiko.

Ninachoweza kukwambia Clepatina huwezi kuyaelewa maumivu halisi ya single mothers kwa kusoma habari zao humu JF jinsi wanavyo nangwa. Na pia huwezi elewa maumivu ya upande wa pili kwa kuangalia maandiko jinsi wanavyo wananga single mothers
✔️
 
Huwa sipendagi kuchangia mada za single mothers, maana zinahusu hisia sana.

Sio kwamba sinaga vya kuongelea, la hasha, nachagua tu kuwa msomaji.

Ninachoweza sema, wanaoponda single mothers huwa wanasababu zao, na pia single mothers wanaoponda wanaume, nao wanasababu zao. Na sometime pande zote mbili huwa na sababu zenye mashiko.

Ninachoweza kukwambia Clepatina huwezi kuyaelewa maumivu halisi ya single mothers kwa kusoma habari zao humu JF jinsi wanavyo nangwa. Na pia huwezi elewa maumivu ya upande wa pili kwa kuangalia maandiko jinsi wanavyo wananga single mothers
Hebu tuwaachie wao, kuna watu wanaponda singo mazaz huku ndiko wanakoponea haja zao jf ni jf tu
 
Kivipi,?hapo mlipofika tunatakiwa kujua kabisaa mi niite wanakamati wenzangu Amehlo Mrs Lissu Depal Shunie niwaeleze mdogo wangu anaolewa na Gily .........NB.. wanakamati tafadhali cheo changu kiheshimiwe
unajua maana ya neno mshefa? Clepatina anataka aolewe na mshefa? mshefa ni mtu ambaye mda wote analalamika vitu visivyo vya msingi, mfano
1. Nimeshiba mpaka nimevimbiwa
2. Sipendi kula kuku kila siku
3 Huyu mwanamke kila saa anataka sex nimechoka
4. Mpenzi wangu nimemnunulia gari ila anapanda Uber anakera kweli
5. Mpenzi wangu bado anatumia iPhone 13 nikitaka mnunulia mpya hataki
6. ...etc

Sasa kwa sababu siko kwenye sifa za ushefa basi ananikataa. Kwanza mshefa hata afanye mapenzi vipi hatoki jasho. Anatoka vipi na wakati ndani kuna Ac na hewa safi?😀 hata nyie kuweni wakweli. Je mimi sio mwanaume handsome kuliko wote JF?
52ungzsqoww81.jpg
 
Tatizo kubwa ni financial freedom. Usingle maza usingekuzwa Kama wanawake waliozalishwa wangekuwa na uwezo wa kujitegemea.. so ata ukiwa single maza kirahisi uwe na uchumi wako mbna unawika tu fresh na walumendago watakutaman tu wakuoe...
Single maza ni msimbe
 
Ila kijana una vocal Sana,mdogo Clepatina wangu alikuwa mgumu Kama boflo,kumbe hakuna boflo gumu mbele ya chai,the teh tehhh Shem karibu nyumbani
Humu ndani kuna watu wana wivu sana. Hawataki kutuona tunapendana ila siku tu baada ya kuvalishwa Pete hatutopatikana week nzima hapa tutakuwa fungate natoa taarifa mapema 😀
hqdefault (2).jpg
 
Back
Top Bottom