Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
msimamo ni ule ule kuhusu singo maza.
Still nawatetea dada zako mkuu🤣
Mim hata nikiwa single maza wa 12 kids I would still be too pricey for you to afford so your msimamo will only hit on your poor innocent sisters not me🤣.
Im very safe mkuu.
 
Hahahaa nimepata nilichokua nataka jamani...nimechambwa leo na single mother😀😀😀

Ila mkuu si nimepatia eee?wewe ni mtu fulani hivi unajiamini na muongeaji sanaaaa😀😀
wewe ni mchokozi tu
 
Amen Amen mkuu nimebarikiwa na maneno yako na wala sijakuelewa vibaya..comment yangu ilikua jokes haikua serious...

Halafu boss mimi sijaoa bado..njoo PM tujadili namna ya kupunguza single mothers mtaani😀
Acha uchokozi mkuu
 
Amen Amen mkuu nimebarikiwa na maneno yako na wala sijakuelewa vibaya..comment yangu ilikua jokes haikua serious...

Halafu boss mimi sijaoa bado..njoo PM tujadili namna ya kupunguza single mothers mtaani😀
Hapo mwisho ni sawa na kunitusi.
Kapunguze kwanza watoto wa mtaani na Mungu atakubariki
 
Hapo mwisho ni sawa na kunitusi.
Kapunguze kwanza watoto wa mtaani na Mungu atakubariki
ef55a9d0c4553bff-600x338.jpg
 
10 Mashavu yako ni mazuri kwa mashada, Shingo yako kwa mikufu ya vito.
Wimbo Ulio Bora 1:10

11 Nutakufanyizia mashada ya dhahabu, Yenye vifungo vya fedha.
Wimbo Ulio Bora 1:11
😍😍😍😍😍😍🤣 Suleiman alikuwa anajua sana kuchombeza walah
 
And trust me I come from Mangi bloodline. My essence is pure and of noble blood. You won't regret it at all🤩😘
I love that mr billionaire. 🤩
And you know what?
I know how to carry myself as a royalty.
Queenship will surely look good on me🤩🤩
 
Back
Top Bottom