Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Hofu yangu ni kufa mgumba na sio kufa as a singo maza.
Halafu sasa hata nikiwa singo maza labda nimtukane Mungu ila nina uhakika nitaendelea kula bata,kuheshimika na jamii kushinda wewe na mkeo uliyemuoa bila watoto.

Na kingine hata nikiwa singo maza wa totozi 12 kama wanafunzi wa Yesu watoto wangu wote watasoma shule za kishua na kuishi kishua na chenji itabakia yakutosha kukulisha wewe mkeo na watoto wako🤣

Naomba usinielewe vibaya🤣 namaanisha tu sio sawa jamii kutaka singo maza wote waonekane hawafai.
Barikiwa sana🙏
Hahahaa nimepata nilichokua nataka jamani...nimechambwa leo na single mother😀😀😀

Ila mkuu si nimepatia eee?wewe ni mtu fulani hivi unajiamini na muongeaji sanaaaa😀😀
 
Hofu yangu ni kufa mgumba na sio kufa as a singo maza.
Halafu sasa hata nikiwa singo maza labda nimtukane Mungu ila nina uhakika nitaendelea kula bata,kuheshimika na jamii kushinda wewe na mkeo uliyemuoa bila watoto.

Na kingine hata nikiwa singo maza wa totozi 12 kama wanafunzi wa Yesu watoto wangu wote watasoma shule za kishua na kuishi kishua na chenji itabakia yakutosha kukulisha wewe mkeo na watoto wako🤣

Naomba usinielewe vibaya🤣 namaanisha tu sio sawa jamii kutaka singo maza wote waonekane hawafai.
Barikiwa sana🙏
Amen Amen mkuu nimebarikiwa na maneno yako na wala sijakuelewa vibaya..comment yangu ilikua jokes haikua serious...

Halafu boss mimi sijaoa bado..njoo PM tujadili namna ya kupunguza single mothers mtaani😀
 
achana na Glenn ishi maisha yako😀 ni mtu wa mademu hatari usimualike nyumbani kwako anatoka na dada zako wote😃😃
Wewe una dada gani wa mimi kumtaka?
Dada zako kutwa kukata kuni mlima kilimanjaro na kuchota maji mtoni miguu imekomaa kama viazi vitamu.
Ni kweli nina penda mademu lakini ni mademu wakali tu asikudanganye ntu.
Ukiwa na dada mkali kweli niogope...ukweli ndani ya utani mshamba_hachekwi 🤣🤣🤣🤣
 
Wewe una dada gani wa mimi kumtaka?
Dada zako kutwa kukata kuni mlima kilimanjaro na kuchota maji mtoni miguu imekomaa kama viazi vitamu.
Ni kweli nina penda mademu lakini ni mademu wakali tu asikudanganye ntu.
Ukiwa na dada mkali kweli niogope...ukweli ndani ya utani mshamba_hachekwi 🤣🤣🤣🤣
Dada zangu utawapata wapi wote wako kwa waume zao huko umechelewa😀
 
Wewe una dada gani wa mimi kumtaka?
Dada zako kutwa kukata kuni mlima kilimanjaro na kuchota maji mtoni miguu imekomaa kama viazi vitamu.
Ni kweli nina penda mademu lakini ni mademu wakali tu asikudanganye ntu.
Ukiwa na dada mkali kweli niogope...ukweli ndani ya utani mshamba_hachekwi 🤣🤣🤣🤣
we kuna wachaga weupe wazuri tembea uone😂
 
The thing is single mothers are there because of different factors. You are trying to defend something which resulted from various factors. .

I had a friend her name is Agness na ameokoka. When she got pregnant alitengwa na church na hata baadhi ya ndugu zake. Bahati mbaya mimba ikaaribika at 7 months.. Mchungaji came and call her a sinner and she was heartbroken especially calling her pregnancy ni sinful. .

The world is not fair my Clepatina and I made peace with it. I just try to live and find happiness in smallest things that I can find. Don't sweat your self over people mind 🙃😎
Sure.
The world is not fair.
I thought doing this is one of those smallest things that would give me joy but I ended bn emotional.
But again let me do what you and To yeye said 😍😍
 
Ninani alikwambia umasikini unaletwa na mtu mmoja. Unajua vijana wangapi wa kitanzania wangekuwa mbali kama wasingejihusisha na mahusiano. Every single penny that you see a man earns the main user ni mwanamke. Mahusiano na uchumba mwingi huvunjika pale uchumi wa mwanaume unaposhuka na the main user ni mwanamke. I tell you, budget ya mwanaume kwasiku itaishia 10k na thats final ila unajua kutunza mpenzi bibie, don't envision it anayejua ni mwanaume. Ndoa huvunjika nasababu kubwa ya taraka ni uchumi wa mwanaume kushuka ila the main user ni mwanamke. Campaign kibao zimeinuka kumfunda mtoto wa kiume kutunza pesa yake na aachane na wanawake mpaka apate aliyesahihi umesikia mara ngapi mtoto wa kike anaambiwa usitumie pesa za mpenzi wako vibaya. [emoji23][emoji23][emoji23] mnachofurahisha ni kwamba hamjui the main person who benefits with the products ndiye atakaedetermine thamani yako na ndiyo judgement zitatoka kwake.

Kuhusu kujitunza, wewe umepewa akili timamu akili na uelewa, kufunzwa kote bado unalaghaika na kutongozwa halafu baadae ukifanyiwa hadaa umlaumu mtu seriously. Mwanaume leo amepewa tahadhari kibao kuhusu kumtunza mpenzi badala ya mke ila siwapo wanaofanya na wapo wanaolizwa umeona mkazo umetiwa kwa mwanamke kutokumuibia mwenzake au mwanaume kutokubali kuibiwa kirahisi na kuanza kusomesha mchumba pasipo jua ataweza umizwa.

Maisha yanaanza na wewe, kamwe hakutakuja tokea mtu atakaye kuja kumzuia mtu mwovu asikulaghai kuingia mkataba mbovu na wewe bali utaonywa wewe unayekubali kuingia mkataba mbovu na huyo muovu maana kwamuovu ni faida ila kwako wewe ni hasara. Maisha ni yako, jitunze mwenyewe ukifeli jilaumu mwenyewe, no one will come to carry you maana dunia ulizaliwa mwenyewe utakufa pia mwenyewe.

Pia tuelewane, tunaongelea hali ya binti mama padipo mwenza wake, bali si tendo la ngono. Tendo la ngono linafanywa na kila mtu hata na wanandoa bali hapa tunaongelea consequences za tendo la ndoa pasipo ndoa kuwepo. Hili lipo kotekote, kwawanawake hujidhihirisha kwa kuwa single mum navinginevyo na kwa mwanaume huja kuwa kapuku kama mchawi pamoja na magonjwa na vinginevyo.

It's your burden, carry your own responsibilities and take accountability, no one is responsible for your life and no one is entittled to another one's opinion. Hayo ndio maisha, ishi kwa akili.
Hiyo bado siyo hoja kwa sababu hakuna anayemlazimisha mwanaume kutumia pesa zake kwa mwanamke ni maamuzi yake tu, na hata ikitokea mwanamke asipotumia hela za mwanaume bado ataishi tu, na ana uwezo wa kujitafutia zake

Tena siku hizi mambo yamebadilika hata wanawake wanajitafutia pesa zao na kuna wanawake wengine wao ndio providers na wanawahonga wanaume wao, pia usifananishe nyege na hamu ya pesa maana sehemu za siri zipo tu watu wanaweza kupeana wakijisikia, lakini pesa zinatafutwa kama mtu hana pesa atampa nini mwenzake

Kifupi unapoongelea ngono ni tendo ambalo halina mbadala yani kila jinsia lazima itegemee nyingine ili iweze kufanya ngono, hata dunia ipinduke juu chini au ibadili mzunguko hutakuja kusikia eti wanaume wamepata viumbe wengine wa kufanya nao na wanawake wamepata viumbe wengine wa kufanya nao, narudia usifananishe hivi vitu viwili
 
si umesema maneno huumba and I say I will be a billionaire 😎🙃
Kabisa.
Utakua billionaire🤣.
Hata mtoto wa mwisho darasani akiambiwa mara kwa mara kuwa yeye ni wa kwanza darasani na hiyo nafasi ya mwisho sio yake kuna uwezekano mkubwa akawa wa kwanza kweli.
Naanza kukuita Gily the billionaire kuanzia leo🤣
 
Kabisa.
Utakua billionaire🤣.
Hata mtoto wa mwisho darasani akiambiwa mara kwa mara kuwa yeye ni wa kwanza darasani na hiyo nafasi ya mwisho sio yake kuna uwezekano mkubwa akawa wa kwanza kweli.
Naanza kukuita Gily the billionaire kuanzia leo🤣
and I will call you Mrs Gily aka Clepatina the millionaire. Utaishi kama malkin wa sheba😀
 
Hiyo bado siyo hoja kwa sababu hakuna anayemlazimisha mwanaume kutumia pesa zake kwa mwanamke ni maamuzi yake tu, na hata ikitokea mwanamke asipotumia hela za mwanaume bado ataishi tu, na ana uwezo wa kujitafutia zake

Tena siku hizi mambo yamebadilika hata wanawake wanajitafutia pesa zao na kuna wanawake wengine wao ndio providers na wanawahonga wanaume wao, pia usifananishe nyege na hamu ya pesa maana sehemu za siri zipo tu watu wanaweza kupeana wakijisikia, lakini pesa zinatafutwa kama mtu hana pesa atampa nini mwenzake

Kifupi unapoongelea ngono ni tendo ambalo halina mbadala yani kila jinsia lazima itegemee nyingine ili iweze kufanya ngono, hata dunia ipinduke juu chini au ibadili mzunguko hutakuja kusikia eti wanaume wamepata viumbe wengine wa kufanya nao na wanawake wamepata viumbe wengine wa kufanya nao, narudia usifananishe hivi vitu viwili
Yaishe sista, hatuelewani ila mwanamje hajalazimishwa kutoa huo mwili kwa wanaume wasio mjali ni nyege zake. So bare your fruits, wewe ndio hufananishi kwasababu havijakukuta yaliyotukuta tupo. Ndio maana nikasema, if your a woman, you have no rights to a man's opinion hakutaki hakutaki na viceversa vivyo hivyo. Upendo haulazimishwi. Nice day, lets watch Man utd
 
1. Huu ni utani wangu na Gily
2. Wachaga ninawafahamu na nina rafiki zangu wachaga humu kama cariha nk
3. Kuna wachaga Warembo haina mfano wake

Ukinikuta nataniana na Gily kaa pembeni😂
Glenn huyu dogo mshamba_hachekwi ni mkibosho usimuone ukafikiri sio mchaga. Sema sasa wakibosho wengi ni washamba sama hawajui hata kutongoza mademu 😀baba zao wanawaolea. .

Sema ni toto dogo sana lina miaka 18..Nilishamwambia aamkie humu ndani ila la kupiga makonzi😅
 
Back
Top Bottom