Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Kijana wa Marekani niko APA sasa vip na ww ni bikra nitume wajomba zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu yangu ni kufa mgumba na sio kufa as a singo maza.Wewe unaonekana ni muongeaji sana...bila shaka wewe ni single mother mtarajiwa😀
Hiyo ni imani tu........watu wengi hudhani kwamba singo mama wanachukiwa kwa sababu ya mtoto au kudhani kwamba anachukiwa mtoto la hasha, siku ambayo singo mama wataweza kufuta kabisa hisia Kwa wale waliozaa nao ndo siku ambayo itatangazwa kuwa ndoa bora ni ile ya kuoa singo Maza na sio kuoa msichana kigori........
.........mfano mbaya ambao unahusishwa na most of single mamas ni ile hali ya kuendelea kuwawaza wenza wao waliowazalisha, unamuoa vizuri tu singo mama ila yeye kichwani anawaza kwamba siku baba mtoto akirudi akaomba msamaha atamsamehe(of which is not bad) na kurudiana nae na ww atakuacha, au akijitahidi hatakuacha ila atakuwa anamuwaza lini wakutane wawe wanachepuka.......
........nb: tukubali tu kuwa mtoto ndo strong bond ya wazazi na zaidi ya yote the first love is always the first and stronger, wewe unaeingia badae ni mvamizi tu.........
Maneno huumba mkuu.sijasema wote wako hivyo ndio maana nikatoa exception kwa wale waliojikuta singo maza bahati mbaya, ila waliobakia sababu kuu ndo hizo. You are so emotional about the matter as if hizo sababu nimetaja kuna uliyo fit in
au ndo tayari...
I smell a singo maza to be
Siku hizi unaringa kweli singo maza...Kwani nimekukosea nini🤗🤗Clepatina ya walimwengu ni mengi huwez yamaliza cute.💕
haha really I am going to be a billionaire today😀Shindwa wewe!
Maneno huumba👹
😍😍Mpendwa wangu aliutia mkono wake tunduni, Na moyo wangu ukachomeka kwa ajili yake.
Wimbo Ulio Bora 5:4
"Asema binti Joannah )
9 Mpenzi wangu, nimekulinganisha Na farasi katika magari ya Farao.😍😍
Wimbo 1:5
Mimi ni mweusi mweusi lakini ninao uzuri,enyi binti wa Yerusalem mfano wa hema za kedari Kama mapazia ya Suleiman .🤷🤷🤷🤷
Asante GilyI have interacted with here before Clepatina is one of the people I like having conversations here huwa nafarijika sana.
Ila mada ya leo nimepata ukakasi kuna kitu nyuma ya pazia😀 women get emotional always
Unaonekana una hasira sana na singo maza dear🤣.Singo mazeri ni adhabu ya ujeuri na dharau walizo nazo, Labda itokee bahati mbaya mwanaume alifariki mapema! Nje ya hapo acha waendelee kuzalishwa na bodaboda wasio chana nywele wala kupiga mswaki...Kwa ufupi heshima na adabu hawana na wengi wao waliona kushika ujauzito mapema ni ustaa sasa wanachopitia ndio matunda yenyewe...
The thing is single mothers are there because of different factors. You are trying to defend something which resulted from various factors. .Asante Gily
Uzuri mim naonaga vitu kabla hata sijafungua macho na hii hali ya nyie kupata ukakasi nilishaiona ila nilijua haitanisumbua.
Yes Im very emotional about this😭
how?
si umesema maneno huumba and I say I will be a billionaire 😎🙃Maneno huumba👹