Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakupa mbususu mpaka unaanza kufikiria kuweka kambiKwa kweli Mimi na masingle mother ni Pete na kidole.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
madem wenyewe hawatongozeki 😂Glenn huyu dogo mshamba_hachekwi ni mkibosho usimuone ukafikiri sio mchaga. Sema sasa wakibosho wengi ni washamba sama hawajui hata kutongoza mademu 😀baba zao wanawaolea. .
Sema ni toto dogo sana lina miaka 18..Nilishamwambia aamkie humu ndani ila la kupiga makonzi😅
Tafuta hela mdogo wangu uache kulia lia. 😀madem wenyewe hawatongozeki 😂
Miaka ya nyuma nilikuwa na crashi wangu wa kibosho humu ooh huyo mtoto Mungu amtunze...mrembo sana acha tu.Glenn huyu dogo mshamba_hachekwi ni mkibosho usimuone ukafikiri sio mchaga. Sema sasa wakibosho wengi ni washamba sama hawajui hata kutongoza mademu 😀baba zao wanawaolea. .
Sema ni toto dogo sana lina miaka 18..Nilishamwambia aamkie humu ndani ila la kupiga makonzi😅
SawaHuyo hajanijibu mimi
tusifike huko aisee 😂ngoja baadae nimpekeee moto Atafurahia show
Wewe ni poyoyo.KUA SINGLE MAZA NILAANA KUBWA SANA.. USIWADANGANYE MABINTI .WAACHE SINGLE MAZA WAPAMBANE NA LAANA YAO WENYEWE.
BINTI USIKUBALI KUA SINGLE MAZA SINGLE MAZA NI LAANA, SINGLE MAZA NI UMALAYA TUU
Mi siongelei hayo wakuu.Mnajilengesha ili iweje? Muhudumiwe for the rest of your lives kisa mtoto?
Kwa sababu utatumia sababu uliyoitaja hapa juu?
Narudia kama mtu najaonesha kutokuwa nabhaja ya kuwa na wewe maishani mwake usimbebee mimba.
Mnatutesa baadae tukipata familia tunazozitaka.
Tena wengine mnajua kabisa mtu kaoa na mnajibebisha mimba. Halafu mnasingizia mtoto atateseka 😡😡😡
Sawa, sasa kama mnalijua hilo kwanini mnalaumu kwamba wanawake hawajitunzi, ilihali ninyi ndio hamko tayari kuvumilia hadi ndoaYaishe sista, hatuelewani ila mwanamje hajalazimishwa kutoa huo mwili kwa wanaume wasio mjali ni nyege zake. So bare your fruits, wewe ndio hufananishi kwasababu havijakukuta yaliyotukuta tupo. Ndio maana nikasema, if your a woman, you have no rights to a man's opinion hakutaki hakutaki na viceversa vivyo hivyo. Upendo haulazimishwi. Nice day, lets watch Man utd
msimamo ni ule ule kuhusu singo maza.Nimefarijika kuona unakataa kuwa siwatetei dada zako.
Na pia najua huna uwezo wa kujua ni kipi kimenipa faraja katika hilo.
Sawa najitetea mimi🙏
Sawa lakini point yangu ni kuwa sio wote wanaweza kufanya hivyoSijasikia, bali naona.
Ila ukitaka wasisemwe vibaya basi wawe na msimamo hasa baba watoto zao wanapokuwa hai na wanapokuwa kwenye mahusiano na mwanaume Mwingine.
Ila tofauti na hapo wataendelea kusemwa vibaya na ndio ukweli huo.
Ukweli siku zote unauma
Sawa vp wasio na uwezo?Tatizo kubwa ni financial freedom. Usingle maza usingekuzwa Kama wanawake waliozalishwa wangekuwa na uwezo wa kujitegemea.. so ata ukiwa single maza kirahisi uwe na uchumi wako mbna unawika tu fresh na walumendago watakutaman tu wakuoe...