Familia iko excited,Hadi bwana harusi atahisi anauziwa mbuzi kwenye kiroba🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisy you are too fast.
Bado sijakubali🤣.
Halafu familia nzima mshatuvamia mnaniaibisha🤣.
Mtanikatishia tamaa noble man wangu😭😭
Ya 2 tena? Duh wacha waoane aise...wakaribie
duh😅 love is in the air....Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃View attachment 2629015
Mbona ya April Tena?sio ukanjanja huu?😅😅Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃View attachment 2629015
Umeanza kutumia vilainishi?Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃View attachment 2629015
WamecharukaaaYa 2 tena? Duh wacha waoane aise...wakaribie
Humu ndani tunadharauliana sana nawez post hizi 20. Mammaewwduh😅 love is in the air....
Unaanza ubishi sasa. Unaona sasa kwann wanaume wanashambulia single mothers sababu hampendi kusikiliza maoni yao. Na hii ndio huitwa ujuaji. Maana unakuwa unahoji as if una majibu yote sasa unashangaa kwann mtu anakukatalia unachokijua wewe.Kwamba mtu akiwa singo maza tu automatically.anakua much know?
Ambao sio singo maza hakuna much know?
Leo jioni, nachukia mwanaume asiye na uwezo kutongoza, yupo kama Bei Elekezi 😂😂😂Hii tabia umeanza lini Tena?🤣
Hii kwenye hesabu wanaita 10 - 10 = 0. Yaani umebalance mwisho wa siku haujaweka maoni yako binafsi umeongea kiuoga imeshindikana kujulikana unasimama upande gani.Huwa sipendagi kuchangia mada za single mothers, maana zinahusu hisia sana.
Sio kwamba sinaga vya kuongelea, la hasha, nachagua tu kuwa msomaji.
Ninachoweza sema, wanaoponda single mothers huwa wanasababu zao, na pia single mothers wanaoponda wanaume, nao wanasababu zao. Na sometime pande zote mbili huwa na sababu zenye mashiko.
Ninachoweza kukwambia Clepatina huwezi kuyaelewa maumivu halisi ya single mothers kwa kusoma habari zao humu JF jinsi wanavyo nangwa. Na pia huwezi elewa maumivu ya upande wa pili kwa kuangalia maandiko jinsi wanavyo wananga single mothers
Kinyume cha single mother ni mama wa familia ya mume , mke na watoto.Hivi kinyume cha SINGLE MOTHER ni nini ? Au DOUBLE MOTHER?
wanakuja PM😂 hapo ni kama umewaita...Humu ndani tunadharauliana sana nawez post hizi 20. Mammaeww View attachment 2629018
Unatumiwa pesa ya kumjengea kaka wewe unatongozea🤣Humu ndani tunadharauliana sana nawez post hizi 20. Mammaeww View attachment 2629018
Unamtisha nani dogo🤣🤣🤣Kwa sababu tunaandika mada za kijinga mnatuchukulia poa. Napost hizi ishirini sitaki tu mazoea inbox nafunga mda huu😀View attachment 2629019