Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya
Hebu mpost shemu, huenda mtoto wa watu kanyong'onyea wewe unajilia magengeni tu😂😂
Mke wangu akishiriki umiss IFM😀 na nimemkuta mbichi. Kwanz hata mambo ya mitandao hana habari nazo kabisa. Hakika ukimuona hutodhania kwanza kuwa na mimi😃na jinsi nilivyo huku mtandaoni .
 
I am Gily supervillain nakufundisha kuwa kuna wazee wananiamkia shikamoo tena wakubwa kuliko wewe😀 we maliz maneno siku uje na shida zako🤣
unamfundisha vibaya mshamba_hachekwi
Sasa unaamkiwa na wale wazee wa Rombo walioonyeshwa wanajinywea gongo hadi wanasaidiwa uzao na Wakenya?

Ndio ujivune hapa?😁😁😁
 
Even me! Broh huwa nawazoom tu!
Mke wa mtu sumu hatari hata mazoea huwa sitaki kabisa navaa miwani
MV5BMGFhOGVlNGUtZTY4NC00YjZmLWEzNTQtMDEwMjA3MmJiNmYzXkEyXkFqcGdeQVRoaXJkUGFydHlJbmdlc3Rpb25Xb3...jpg
 
Back
Top Bottom