VIVYO HIVYO KWA CCM INGEKUWA VZR KAMA INGEKAA PEMBENI IKAIPISHANCHADEMA
 
Naona unaanza kuibuka na mengine yasiyo na mantiki, "Mbowe anakaa kwenye nafasi ya kuteuliwa" usitoke nje ya lengo, usilete ligi hapa zisizo na maana, jifunze kutulia kwenye hoja yako hata kama haina mashiko.

Zaidi, kama unaamini baada ya miaka kumi akili ya kiongozi huchoka, sasa iweje tena ukamuombe ushauri hata kama harudi madarakani? huoni kumuomba kwako ushauri tayari kunaonesha unamuamini, bado ana uwezo wa kutoa mchango wa kimawazo?

Kaa chini jitafakari upya, habari yako ya "miaka kumi" nakwambia tena haina maana, haipo hapa duniani kama nilivyokuonesha pale juu.
 
Mbowe cdm ni kama ka NGO chake cha kuombea pesa huku na kule na kupitia people's power ww unataka akale wapi
 

Nimecheka kwa nguvu kinoma 😂😂😂.
 
Ndio style yako ya kukimbia siku zote...
Mkuu Nina miaka 10+ huku jukwaani, sijawahi kukimbia Wala kubadili I'd. Sasa sijui nakimbia vipi. Nimekuambia miaka 10 kwangu ni mwisho kwa kiongozi, ww huamini kwenye hilo, na siamini lolote unaloamini ww, kuliko upate jazba zaidi imebidi nicheke kwa nguvu maana sioni unaniambia Nini. Naweza kuendelea na mjadala na mtu mwingine, sio ww maana Kila mtu ana lake analoamini. Kuna tatizo hapo?
 
Mkuu ni kosa kuwa na nadharia za kipekee? Ninawajibika kwa ninachoamini kwanza, kisha hicho unachoamini ww ni juu yangu kukiamimini ama la.
Unapokileta humu, tutakijadili kama tunavyofanya sasa hivi. Kama hakina mantiki tutasema hivyo bila ya kusita.
 
Weeeeee wakikusikia
 
Ndio style yako ya kukimbia siku zote...
Huyu jamaa, siyo kama walaghai wengi tunaokutana nao humu JF. Anayo akili nzuri kabisa, lakini kwa sababu azijuazo mwenyewe (mimi nasema ni ubishi tu) huamua kujitoa ufahamu kabisa katika misimamo isiyokuwa na uhalisia wowote kama hilo la uongozi wa miaka 10, na swala la machafuko.
 
Unapokileta humu, tutakijadili kama tunavyofanya sasa hivi. Kama hakina mantiki tutasema hivyo bila ya kusita.
Sijali ww unakiona vipi, najali mimi naamini Nini. Siwajibiki kwako boss, Bali nawajibika kwenye mtazamo wangu na sio wako.
 
Sijali ww unakiona vipi, najali mimi naamini Nini. Siwajibiki kwako boss, Bali nawajibika kwenye mtazamo wangu na sio wako.
Hakuna aliyesema unawajibika kwake. Pointi ni hiyo moja tu, ukikileta humu, tutakueleza tunavyo kiona hicho ulicho wasilisha.
 
Hakuna aliyesema unawajibika kwake. Pointi ni hiyo moja tu, ukikileta humu, tutakueleza tunavyo kiona hicho ulicho wasilisha.
Sina tatizo na ww unakiona vipi, hiyo ni haki yako.
 
Akae pembeni? Hiyo Saccos amwachie nani? Huyu ni mwenyekiti wa maisha
 
CHADEMA CHAMA CHA WAHUNI KINACHO PINGA WAZALENDO KAMA JPM
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=iurWykL_D6A
Anachoongea ni ukweli but he is coached, hila hajui siasa and how to go about to achieve that goal.

Kumsaidia tu Magufuli was a master kwenye hizo siasa, zinaitwa ‘demagogue politics’ lengo ni kunasa kundi kubwa litakalo kuamini after that you can influence them to do anything. Na Magufuli Alicheza na maskini walio wengi.

Sasa wewe ukamtukane huyo mtu ambae alijijengea trust kwa watu waliowengi halafu unazungumza siasa za kujijengea uaminifu.

Like where is your strategy to win that trust? Tells you he is coached, kutokana na speech zake hajui how to win trust.

Hawana uwezo hawa watu it’s easy to see, he is coached but don’t understand how to go about to achieve given the ground facts, hana strategists ndani ya Tanzania wanaozielewa siasa za ndani to achieve that goal.

Wazungu wanaompa mbinu hawawajui watanzania vizuri anapewa theory tu.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili. To think poyoyo kama Lissu kuna watu wanamuamini its just appalling to me.

Watu wajipange CCM has to go eventually, hila kutokana na kundi la watu wanaojielewa realistically 10 years from now wakijipanga. CCM ni genge la wanyang’anyi kwa sasa wanahitaji kutoka ila sio kuwapa nchi mapoyoyo kama Lissu na Mbowe (their just a bunch of idiots).
 
Awe na maamuzi magumu, nani ana ubavu wa kuyafuata hayo maamuzi magumu hapa Tz. Akiitisha maandamano itatoka kuanda,ana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…