Limeibuka tena baada ya kuwawekea pozi walivyo kimbilia UG 2013 na silaha , bila masharti au shinikizo kwa wenyeji wao. uG.
 
Ww mbona unaubishi wa kitoto,yaani unaambiwa kitu unakubali halafu uzi huo huo unakataa ulichoambiwa ulisema Russian hawatumii bm21 umeletewa source umekubali wanatumia umebadilisha mada tena imekua milipuko tofauti usitute uchizi wako humo unajaza seva tu.
 
Drc hawatumii bongo vzr kwa utajiri huo wanashindwa kuajiri mecernaries wa kuwa assasinate hao wawili?
Mm sijui hata jamaa wana nn tu,? yaani kila siku ni kulialia tu, kuna kipindi vikundi vya wizi vya slim na m7 walizichapa ndani ya kongo, aisee nilishangaa mnooo.
 
Mm sijui hata jamaa wana nn tu,? yaani kila siku ni kulialia tu, kuna kipindi vikundi vya wizi vya slim na m7 walizichapa ndani ya kongo, aisee nilishangaa mnooo.
Ukosefu wa akili wa serkali yao kwa kiwango cha juu
 
Tumewahi kuwapiga kwenye hiyo hiyo misitu ya Kongo πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
 
Nikuletee na mimi link au unaleta ubishi mafii ya bata
 
Vita sio vizuri, visikie tu kwa jirani au vitazame kwenye TV.

Hata Wapiganaji wote duniani wanalitambua hilo, uwa ni huzuni kubwa wanapoagana na wapendwa wao kuelekea Uwanja wa Mapambano.

Ambush haitambui Uimara wako, yeyote itakayokuta basi jua ameenda.

Donda la Congo limekuwa Sugu, uwa linapoa TU, ndo maana Wacongo wanahitaji Amani zaidi sio Vikundi vya Walinda Amani.

Nilishangaa kuona Wakishangilia, baada ya Kikosi Kimojawapo(Walinda Amani) kuondoka, Madai yao The Peace Mission has totally failed.
 
brig general ilikuwa ni misuse of resources, huyo luten kanali anawatosha kabisa.
Naam, nimependa hii.. Uimara wa TPDF ndio hapa unaonekana.

Kama mission kubwa kama hii anapewa Luteni Kanali, Je zile kubwakubwa wakikabidhiwa Majenereli? iki ni kijembe pia kwa Kenya, maana lile jeshi walipeleka kule lilikuwa chini ya Meja Jenerali kama sijakosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…