Kenya walikuwa pale cha ajabu ni kama walienda kupigana ngumi za mtaani.
Keep it up TPDF, taasisi pekee niliyo na imani nayo linapokuja suala la uaminifu kwa nchi.
Inamaana wewe huwajui wabongo kwa ushabiki na ushambenga?Hii wamesema wapi?
Ulitaka kusemaje Mkuu...?Vita sio vizuri, visikie tu kwa jirani au vitazame kwenye TV.
Hata Wapiganaji wote duniani wanalitambua hilo, uwa ni huzuni kubwa wanapoagana na wapendwa wao kuelekea Uwanja wa Mapambano.
Ambush haitambui Uimara wako, yeyote itakayokuta basi jua ameenda.
Donda la Congo limekuwa Sugu, uwa linapoa TU, ndo maana Wacongo wanahitaji Amani zaidi sio Vikundi vya Walinda Amani.
Nilishangaa kuona Wakishangilia, baada ya Kikosi Kimojawapo(Walinda Amani) kuondoka, Madai yao The Peace Mission has totally failed.
Wako huko muda wote,Khee mbona muda bro toka mwaka jana mwishoni.
Ww umesema russia hawatumii bm21 imeletwa source kuwa wanatumia bm21 unasema milipuko siyo hyo humu itakuwa tunachat na watu wengne machizi ww kila unachoambiwa unabadilisha mada inimladi ubishe tuNikuletee na mimi link au unaleta ubishi mafii ya bata
Sio ushabiki taarifa hyo hapo officialInamaana wewe huwajui wabongo kwa ushabiki na ushambenga?
Tumia akili kuna tofauti mashine inaweza kuwa ile ile ila mabomu na tec yake ni tofauti hata umbali wa kushambulia hizi za tz hazitumiki urusi maana ni rahisi kupigwa na adui na kukuangamiza wewe mwenyewe kutokana na silaha za adui hivyo kuna up grade ya tec zinafungwa hizo bm 21 zipo za kizamani na zakisasa jina ni ilo ilo ila tofauti ni tec hasa ya makombora yanayo tumika kazi ya ili gari ni kufyatua tu hivyo wanaweza kufunga kwa kubebeshea tec za kisasa zaidi vifaru vya urussi vilivyo kuwa na majina ya kizamani ila vimefanyiwa up grade ya hali ya juu kabisa jina ni lile lile ...sipendi kubishana na marofaWw umesema russia hawatumii bm21 imeletwa source kuwa wanatumia bm21 unasema milipuko siyo hyo humu itakuwa tunachat na watu wengne machizi ww kila unachoambiwa unabadilisha mada inimladi ubishe tu
Kwakuwa Wakongomani hawana Akili kama Wewe na Taifa utokalo Taifa la Watu Werevu ( Intelligent ) Afrika Mashariki limelazimika kuwalindia Rasilimali zao.Tangu lini wanyarwanda wakalinda mali za wakongomani........!!!!!;
We kijambio cha saa mia moja soma hapo mwisho ...utaona generation of rocket ila gari ni lilelile na baada ya vita kuanza jwa sasa hizo bm 21 za urussi ni kitu kingine kabisa zinapiga hadi drone kwa sababu wameundacroketi za aina mbali mbali zinazo tumika kwenye ilo gari kwa,malengo tofauti kwa sasa wanatumia hadi thermoballistic ndogo ndogo kwenye hiyo bm 21Ww umesema russia hawatumii bm21 imeletwa source kuwa wanatumia bm21 unasema milipuko siyo hyo humu itakuwa tunachat na watu wengne machizi ww kila unachoambiwa unabadilisha mada inimladi ubishe tu
wakenya walirudi kwao kwa bus za matatu ama Nduthi ?Ndio uh meweka bando Leo? Tunaifahamu hii habari
Dogo hii habari ni out of date.. Mod wataunganisha good nightwakenya walirudi kwao kwa bus za matatu ama Nduthi ?
Mkuu ,,,,,,mm mwenyewe mtusi......na jatuna intelligent yoyote kuwazidi wabantu wengine......Sifa tu ndio zimetujaa kama wahaya na wagandaKwakuwa Wakongomani hawana Akili kama Wewe na Taifa utokalo Taifa la Watu Werevu ( Intelligent ) Afrika Mashariki limelazimika kuwalindia Rasilimali zao.
Uko sahihi kabisa ila vipi kwa huyu hapa chini na hiki Kiingereza chake Kibovu nae pia siyo Special Mental Case kama Mimi?special mental case
Kipindi kile alienda brigedia kwa sababu Tanzania ndio ilitoa kiongozi wa vikosi vyote, kwa sasa aliyetoa kiongoziNaam, nimependa hii.. Uimara wa TPDF ndio hapa unaonekana.
Kama mission kubwa kama hii anapewa Luteni Kanali, Je zile kubwakubwa wakikabidhiwa Majenereli? iki ni kijembe pia kwa Kenya, maana lile jeshi walipeleka kule lilikuwa chini ya Meja Jenerali kama sijakosea