Akijichanganya atapigwa awamu hii , uzuri CDF wa Sasa hataki utaniHuyu kagame sio wa kumuamini Mjanja mjanja sana Ukute anaitaka Tanzania aivuruge amani maana ataamua kulipa kisasi yaani kagame sio wa kumuamini bora tukae kimyaaa sio wa kumjibu.
JWTZ wamekwenda lini tena kupigana drc ?TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC
Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
View attachment 2893189
Khee mbona muda bro toka mwaka jana mwishoni.JWTZ wamekwenda lini tena kupigana drc ?
Ni mhamiaji haramuMkimbizi ,
Kagame ni TAKATAKA kama taka nyingine tu. Aliufyata kwa Burundi ndo atauweza mziki wa Jwtz!?Huyu kagame sio wa kumuamini Mjanja mjanja sana Ukute anaitaka Tanzania aivuruge amani maana ataamua kulipa kisasi yaani kagame sio wa kumuamini bora tukae kimyaaa sio wa kumjibu.
Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..Wanalialia kisa BM-21 silaha ya kawaida kwa sasa kwenye nchi za Afrika. Sema Mrusi aliunda, hata vita ya Kagera hizi Grad ziliogopwa sana. Tatizo lake huwa zinakuja kwa kelele, unaisikia inaunguruma na hasa ikiwa usiku. Sasa hujui itatua wapi.
Hizo unazoita takataka ndo mabwana zako M23 wanalalamika kuwa ni silaha nzito! Umekaa kwa shemeji yako unasubiri dadayako aachiwe hela ya matumizi umuombe buku la bando uje kuandika utumbo jf!Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
Ndiyo maana nikauliza ...maana hayo mavyuma chakavu haya staili kuwa tz kwa sasa yalisha tuanithi mara mbili nchini mwetu....mbagara na gongolamboto ....si wakati wa kuwa nayo hivyo kama yapo yapelekwe kongo kupigia panya road wa m23 kisha myatupe huko huko msirudi nayo nchini.Hizo unazoita takataka ndo mabwana zako M23 wanalalamika kuwa ni silaha nzito! Umekaa kwa shemeji yako unasubiri dadayako aachiwe hela ya matumizi umuombe buku la bando uje kuandika utumbo jf!
Hivi nyinvyi mgambo wa jwtz bado mnatumia hizo takataka za BM - 21 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mmeendanazo kongo kuondoa vyuma chakavu na mabomu yaliyo expire kwenye maghara yetu yasije kutulipukia kama ilivyo tokea siku za nyuma..
Mr slim ndo kaandika.Ukute hii imeandikwa kigari
na kuropoka piaHicho kisago lazima ukimbie
Bm 21 mrusi anazitumia vita ya UkrainNdiyo maana nikauliza ...maana hayo mavyuma chakavu haya staili kuwa tz kwa sasa yalisha tuanithi mara mbili nchini mwetu....mbagara na gongolamboto ....si wakati wa kuwa nayo hivyo kama yapo yapelekwe kongo kupigia panya road wa m23 kisha myatupe huko huko msirudi nayo nchini.
hapo sasa, et wanataka wajeda wetu waende na mapanga, wakat wao wana bindukiVita inachagua silaha?
mr slim na m7 wakifa kongo inaweza kutulia angalau.Safi sana TPDF Mungu awe nanyi. Tembeza kichapo mpaka Kigali.