change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Naam.. ilikuwa 1979 adui baada ya kupigwa kipigo kumchakucha walisikika wakilia na kukimbia wakiwa viwete kwa kilugha chao: kakokola tondeka nyuma the rest is history, mbarara wanaijua sana BM -21, kazi anayo kunguru majuto yake ni ya daima piga kunguru hao! Piga kunguru hao! Mpaka mpaka maji itoke kwa shimo la kiuno.Kunguru hao waoga kauli za mtu muoga BM-21 silaha ndogo sana na hata FARDC pia wanazo zingepelewa BM-27 na BM-30 si wangekimbia hovyo ila BM-21 zinatisha pamoja na udogo wake na zilichangaia sana ushindi wa vita vya Kagera.
Kweli ila mimi nitakuoa ukisha pokea baraka za papa...mimi ni basha mzoefu komrediAcha ujuaji, acha kujichekesha chekesha kama binti, uzi wa mambo ya kijeshi huu unajichekesha kabinti? Dunia imechafuka siku hizi kuna watu wanaoa wanaume wenzao.
Ilikua inapiga king'ora fulani hivi mji mzima unazizima kumbe ni kadege kamoja🤣🤣Silencer ya nini tena wakati hiyo kelele ndio psychological torture. Yani unasema tuwafanye mbwa wa ulinzi wasibweke wang'ate kimyakimya wakati sauti za kutisha huogofya.
Uko vitani, unasikia mizinga ya adui inaunguruma angani, hujui itadondokea wapi ila moja unaona imedondoka mita 30 mbele na kuna watu wanapiga yowe kumaanisha wameumia. Mzinga mwingine umedondoka mbali yenu ila miti imevunjika, kwingine unasikia mwangwi. Utakaa hapo?
Wajerumani waliwahi unda ndege inaitwa Junkers Ju-87 Stuka, ilikuwa inapiga kelele wakati wa kushambulia na zinatisha.
Kama walizitumia basi ni safisha sklepa ...kama nilivyo pendekeza kwa jwtz nao wafanye hivyo ila kwa mrussi ni tofauti wao wameondoa vyuma chakavu vyote na kuunda vitu safi na vipya ndiyo maana NATO WANALIANi hizo hizo, wantumia hadi SU 25, NA T70 silaha za zamani but zinaua kuliko za mwaka 2024.
View attachment 2893888View attachment 2893889
Lessons Learned From Ukraine: Rocket Artillery On The Modern Battlefield
While rocket artillery has been around for a very long time, recent decades have seen improvements to accuracy and firepower, coupled with extensive proliferation.euro-sd.com
Kweli ila mimi nitakuoa ukisha pokea baraka za papa...mimi ni basha mzoefu komredi
Kuna new mod yakeNi hizo hizo, wantumia hadi SU 25, NA T70 silaha za zamani but zinaua kuliko za mwaka 2024.
View attachment 2893888View attachment 2893889
Lessons Learned From Ukraine: Rocket Artillery On The Modern Battlefield
While rocket artillery has been around for a very long time, recent decades have seen improvements to accuracy and firepower, coupled with extensive proliferation.euro-sd.com
Watanzania hatujawahi kushindwa vita au operesheni yeyote irrespective ya silaha tulizonazo. Kenya inasumbuliwa na Alshabab hapo zaidi ya miaka 15, lakini sisi tuliwafurusha Amboni na Kibiti ndani ya miaka 2 tu. Big respect to TPDFKenya hata ile ya Westgate walienda kuiba sio kuokoa
Umezisoma hizo link zinasema ni Bm 21 za mwaka gani wanatumia huko?Kuna new mod yake
Katika vitu ambavyo kagame na m23 yake hawakitaki kiwepo congo,ni tpdf,tpdf wanajua kubonda bana!!..ile 2013 m23 hawakuwahi kujua Kama makombora huwa yanapigwa vile,yaani heavy,muda wote,hakuna muda wa kula
TPDF heshima yao anaijuwa Museveni. Na Museveni ndiye aliyewalea akina Kagame. Naamini hata Kagame anajuwa hilo. Hawezi kuleta mbambamba na Tanzania.Katika vitu ambavyo kagame na m23 yake hawakitaki kiwepo congo,ni tpdf,tpdf wanajua kubonda bana!!..ile 2013 m23 hawakuwahi kujua Kama makombora huwa yanapigwa vile,yaani heavy,muda wote,hakuna muda wa kula
Hufai kuwa mzalendo wa nchi hii. Umejaa skepticism tu. Wewe pekee ndio unajiona kuwa na uwezo wa kuforesee hiyo risk kuliko wanajeshi wetu?Hivi unajua kilichowakuta wanajeshi wa kenya kule Somalia.Hoa m23 hawana tatizo na TPDF ndio mana wametoa warning kuwa wata retaliate kama hivyo vitendo vitaendelea tena kwa kishindo.Ngoja tusubiri majibu kutoka kwao ndo tutaweka hitimisho
Labda Kama kachoka kutawalaHuyu kagame sio wa kumuamini Mjanja mjanja sana Ukute anaitaka Tanzania aivuruge amani maana ataamua kulipa kisasi yaani kagame sio wa kumuamini bora tukae kimyaaa sio wa kumjibu.
Sio ilivyo bali inavyomtesa hata jana imesaga mtu 40Waw! Nimekumbuka HIMARS ilivomtesa Russia. 😀 😀
Peace keeping ni tofauti na dhumuni la TPDFKenya walikuwa pale cha ajabu ni kama walienda kupigana ngumi za mtaani.
Keep it up TPDF, taasisi pekee niliyo na imani nayo linapokuja suala la uaminifu kwa nchi.
Umepigana vita ngapi vya msituni na umeshinda ngapiVita ya porini hakuna anayetukaribia ukanda huu.