MumeoHuna akili....
Deni lilotajwa ni la toka TUPATE UHURU.....
Usiige tembo kuny* **** makubwa utapasuka msamba.Mbona kaenda kimasikini sana, serikali zingine mwaliko wa Kiataifa inakwenda cabinet yote.
Ndege 10 mpaka 20 na zaidi. Mpaka magari ya Raisa huwa yanaenda kwa ndege. Tanzania kwenda mawaziri 9 mnalalamika, badilikeni, hii nchi haitafunguka mkiwa na mawazo ya kimasikini.
Think big to be big.
Anaisema TanzaniaKwa hiyo na huyo tapeli wa IPTL singa kanjubai analipwa ma trilion?
Af hapa kipawa tumehamishwa zaidi ya mwaka wa kumi huu hatujalipwa fidia.
R.I.P Magufuli, walikusingizia umeiba trilioni 1.5 leo wao wanalipana zaidi ya hizo kwenye kesi za michongo.View attachment 2779616
Mnamuonea Singasinga,yeye ni muwakilishi wa Majambazi ya nchi hii chini ya mkubwa wao Bagamoyo.Kwa hiyo na huyo tapeli wa IPTL singa kanjubai analipwa ma trilion?
Af hapa kipawa tumehamishwa zaidi ya mwaka wa kumi huu hatujalipwa fidia.
R.I.P Magufuli, walikusingizia umeiba trilioni 1.5 leo wao wanalipana zaidi ya hizo kwenye kesi za michongo.View attachment 2779616
Huyu maza kaenda kupewa PhD ya kukopa aseeUchumi upi huo,umeme wenyewe tunagawana na Bei za mafuta ndiyo balaa!
Unakuaje huo Uchumi,hebu tufafanulie mchumi mbobezi!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Huyu ndiyo dalali wa nchiMnamuonea Singasinga,yeye ni muwakilishi wa Majambazi ya nchi hii chini ya mkubwa wao Bagamoyo.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nakumbuka yule kijana Samwel Doe alipokuwa mwanamapinduzi na kuchukua nchi aliwatundika kwenye miti mawaziri wezi na mafisadi na kuwalamba shaba hadharani.CCM ni mashetani wakubwa.
Yaani iwe jua au mvua hilo deni haliwezi kulipika milele, litazidi kuongezeka maradufu na lazima rasimali zetu ziwekwe rehani kuweza kufidia. Kwa kifupi sana watanzania tumeuzwa kiujumla jumla.
CCM ilaaniwe.
Eto wawekezajiWe ACHA tu ndio maana wanauza bandari,watauza Kila kitu,wananunua magari ya kifahari ,wanatumia hela za umma kusafirisha wasanii eti WAKAJIFUNZE India,taifa limesha piga magoti
Ipo haja ya kupitia tena mitaala yetu ya elimu! sisi watanzania hujui aliyesoma wala asiyesoma, sote akili zetu zimeunganishwa na ardhi! watu wanaamini ardhi ndio utajiri, inaweza kua hivyo kama tu itasimamiwa vizuri na kuendelezwa kwani udongo wenyewe hauliwi! sisi ardhi yetu haina zaidi ya kutuletea laana, Ardhi kubwa, uhaba wa chakula ardhi kubwa migogoro ya wakuliwa na wafugaji si bora hizo nchi ndogo kama Rwanda burundi etc hatusikia hayo!Kopeni sana ila msije uza ardhi ya wilaya ya Mbarali kwa kizingizio cha ranch
Huyo Bibi ampishe Mpango kwenye kiti,Samia ni mweupe.Hivi tunataka tufikie hatua ya Ugiriki kufilisika kabisa ndiyo tujue hatuna Rais?Magufuli mpaka anakata moto deni la taifa lilikuwaje? Mama keshaongeza trilioni ngapi tangu aingie madarakani?
Kubwa la maadui Boroyang![emoji1787]Huyu ndiyo dalali wa nchi
Kama una hizo data za deni alivyoliacha Magufuli na sasa lilivyo naomba mkuu. Naona ulichoandika wala hakihusiani na komenti yangu 😁Huyo Bibi ampishe Mpango kwenye kiti,Samia ni mweupe.Hivi tunataka tufikie hatua ya Ugiriki kufilisika kabisa ndiyo tujue hatuna Rais?
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
We hupendi?Kwamba hata kama alikuwa analipwa kwa mkataba wa hovyo usiofaa lakini bado anakuja kulipwa tril 1.9 za kitanzania hii ni aibuView attachment 2779420
1.7M sio nyingi tutalioa tu!Lakadiriwa kufikia takribani Trilioni 104
Ni ongezeko la zaidi ya bilioni 600 kwa mwezi
Kila Mtanzania anadaiwa karibu milioni 1.7
View attachment 2779419
Palestine Sinza!Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.
Mmeshadandia lift ya ndege kutoka India??Mradi hatujavuka viwango vya kukopeshwa ni pesa ndogo sana kwa uchumi unavyokuwa kwa kasi.
Nayo imekopeshwa?Palestine Sinza!