mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Kwa hiyo na huyo tapeli wa IPTL singa kanjubai analipwa ma trilion?
Af hapa kipawa tumehamishwa zaidi ya mwaka wa kumi huu hatujalipwa fidia.
R.I.P Magufuli, walikusingizia umeiba trilioni 1.5 leo wao wanalipana zaidi ya hizo kwenye kesi za michongo.
Af hapa kipawa tumehamishwa zaidi ya mwaka wa kumi huu hatujalipwa fidia.
R.I.P Magufuli, walikusingizia umeiba trilioni 1.5 leo wao wanalipana zaidi ya hizo kwenye kesi za michongo.