Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
leo ulipitishwa msasani kimweri road, kwanza watu hawakujua ni nini baada ya kuona misululu ya magari na ving'ora, hata baada ya kujua kila mmoja akawa na lake la kusema... wenye kusema wanaiba hela hayaaaa. wenye kusema wanatusababishia foleni hayaaa... kwa kifupi watu hawakuwa na mzuka nao kabisa.
unaongeza ukimwi.