Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
naomba kuuliza hivi huu mwenge huu unafaida gani
leo umekesha huku tabata nakatiza kwenda job
nakuta watoto wa shule wanakata viuno
dada huyoo ameolewa dada huyo ameolewa
nikatafakari ,,ni pesa kiasi gani zimetumika kupamba uwanja
kulikuwa na msafara wa magari kibaaaoooo
kwanini zisifanyie kingine cha maana looh
leo umekesha huku tabata nakatiza kwenda job
nakuta watoto wa shule wanakata viuno
dada huyoo ameolewa dada huyo ameolewa
nikatafakari ,,ni pesa kiasi gani zimetumika kupamba uwanja
kulikuwa na msafara wa magari kibaaaoooo
kwanini zisifanyie kingine cha maana looh