Mwigulu Nchemba: Tumefuta baadhi ya tozo, nyingine tumepunguza kwa asilimia 10-50
Nani aliwashauri kuziweka hizo tozo na viwango vyake mara ya kwanza kabla ya kusikia kilio hiki?
KAZI nzuri ya CCM. Imesikia kilio hiki. Tozo sio tatizo lakini shida Ilikuwa ni kiwango Cha tozo. Hakuna nchi duniani inaweza kuhudumia watu wake bila kulipa Kodi na tozo zinazostahili. Hata kama ni chadema(japo waameishiwa hoja) wakibahatika kupata serikali labda kuanzia miaka ya 2150 watatoza tozo.
Nimpongeze sana bwana nchemba Kwa kusikia kilio hiki na maelekezo ya CCM.
 
Wazungu wameshatowa somo namna ya kubana matumizi, hizo V8 ziuzwe Mara moja.
C3AB178A-D10F-4141-B1DB-53E448FF0794.jpeg
B30BF26A-40A9-4592-86FF-266B6E2EFDDC.jpeg
 


Akizungumza leo bungeni, Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema uongezwaji wa wigo wa kukusanya mapato kupitia tozo uliibua malalamiko kwenye jamii hivyo Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliagiza upitiwaji upya wa tozo hizi na kuzingatia maoni ya wananchi.

Mabadiliko yafuatayo yamefikiwa-
  • Kufuta tozo ya kuhamisha pesa kutoka benki kwenda mitandao ya simu kwa pande zote.​
  • Kufuta tozo ya kuhamisha pesa ndani ya benki moja na kutoka benki moja kwenda benki nyingine​
  • Kutowahusisha wafanya biashara wadogo​
  • Kupunguza gharama ya miamala kwa asilimia 10-50 kutokana na makundi ya miamala​

Marekebiosho haya yataanza kufanya kazi Octoba 1, 2022. Aidha, kodi ya pango inapaswa kulipwa na mmiliki wa nyumba na siyo mpangaji.

Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, mafunzo ya semina, warsha, kukagua miradi n.k

Wataalamu wa wizara ya fedha na mipango ndiyo wamefanya mapitio haya wakiwa ofisini kwa kuwa ni sehemu ya majukumu yao. Taarifa za kuwa kuna tume iliundwa kutoka nje ya wizara ni uzushi.
JF ni mshindi kwenye hili.. Pongezi kwa wote waliotoa michango yenye tija na kupaza sauti zao bila kuchoka
 
This is Magufurilistic...

"Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, ...
 
Nani aliwashauri kuziweka hizo tozo na viwango vyake mara ya kwanza kabla ya kusikia kilio hiki?
Ccm inatawala maiti, ndio maana wanaweza kufanya lolote bila kufikiri halafu ndio wanafikiri baadaye.

Wenye tatizo ni Watanzania wenyewe na siyo Ccm wala serikali, mpaka mtakapoacha kugombea jezi za Simba na Yanga ndio utajuwa kuna mambo ya msingi.
 


Akizungumza leo bungeni, Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema uongezwaji wa wigo wa kukusanya mapato kupitia tozo uliibua malalamiko kwenye jamii hivyo Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliagiza upitiwaji upya wa tozo hizi na kuzingatia maoni ya wananchi.

Marekebisho yafuatayo yamefikiwa-
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu kwa pande zote.​
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja na kutoka benki moja kwenda benki nyingine.​
  • Kutowahusisha wafanya biashara wadogo (merchants) kama ilivyokuwa kweye kanuni ya sasa.​
  • Kusamehe tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki yaani ATM kwenye miamala yenye thamani ya chini ya tsh 30,000/=​
  • Kupunguza gharama ya miamala kwa asilimia 10-50 kutokana na makundi ya miamala​

Marekebiosho haya yataanza kufanya kazi Octoba 1, 2022. Aidha Serikali itafuta kodi ya zuio ya pango itapaswa kulipwa na mmiliki wa nyumba na siyo mpangaji.

Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, mafunzo ya semina, warsha, kukagua miradi n.k

Wataalamu wa wizara ya fedha na mipango ndiyo wamefanya mapitio haya wakiwa ofisini kwa kuwa ni sehemu ya majukumu yao. Taarifa za kuwa kuna tume iliundwa kutoka nje ya wizara ni uzushi.
Mpaka ameitwa "panya office" ndiyo akili imemrudia na kuziona tozo zake zina maumivu makali sana kwa wananchi.
 


Akizungumza leo bungeni, Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema uongezwaji wa wigo wa kukusanya mapato kupitia tozo uliibua malalamiko kwenye jamii hivyo Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliagiza upitiwaji upya wa tozo hizi na kuzingatia maoni ya wananchi.

Marekebisho yafuatayo yamefikiwa-
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu kwa pande zote.​
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja na kutoka benki moja kwenda benki nyingine.​
  • Kutowahusisha wafanya biashara wadogo (merchants) kama ilivyokuwa kweye kanuni ya sasa.​
  • Kusamehe tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki yaani ATM kwenye miamala yenye thamani ya chini ya tsh 30,000/=​
  • Kupunguza gharama ya miamala kwa asilimia 10-50 kutokana na makundi ya miamala​

Marekebiosho haya yataanza kufanya kazi Octoba 1, 2022. Aidha Serikali itafuta kodi ya zuio ya pango itapaswa kulipwa na mmiliki wa nyumba na siyo mpangaji.

Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, mafunzo ya semina, warsha, kukagua miradi n.k

Wataalamu wa wizara ya fedha na mipango ndiyo wamefanya mapitio haya wakiwa ofisini kwa kuwa ni sehemu ya majukumu yao. Taarifa za kuwa kuna tume iliundwa kutoka nje ya wizara ni uzushi.

Tunataka tozo zifutwe sio zipunguzwe,

Mtoza Tozo pia hatumtaki.
 


Akizungumza leo bungeni, Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema uongezwaji wa wigo wa kukusanya mapato kupitia tozo uliibua malalamiko kwenye jamii, hivyo Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliagiza upitiwaji upya wa tozo hizi na kuzingatia maoni ya wananchi.

Marekebisho yafuatayo yamefikiwa-
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu kwa pande zote.​
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja na kutoka benki moja kwenda benki nyingine.​
  • Kutowahusisha wafanya biashara wadogo (merchants) kama ilivyokuwa kweye kanuni ya sasa.​
  • Kusamehe tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki yaani ATM kwenye miamala yenye thamani ya chini ya tsh 30,000/=​
  • Kupunguza gharama ya miamala kwa asilimia 10-50 kutokana na makundi ya miamala​

Marekebiosho haya yataanza kufanya kazi Octoba 1, 2022. Aidha Serikali itafuta kodi ya zuio ya pango, hivyo kwa itapaswa kulipwa na mmiliki wa nyumba na siyo mpangaji.

Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, mafunzo ya semina, warsha, kukagua miradi n.k

Wataalamu wa wizara ya fedha na mipango ndiyo wamefanya mapitio haya wakiwa ofisini kwa kuwa ni sehemu ya majukumu yao. Taarifa za kuwa kuna tume iliundwa kutoka nje ya wizara ni uzushi.

Sisi wa Tigo pesa na Mpesa mbona sioni chochote hapa?

Anatuletea mzaha?
 
Tozo ya ATM sijaielewa kabisa, yaan tozo watuwekee kwa nguvu zen kuitoa waiite msamaha tena kwa miamala isizidi 30k, imagine nmeweka bank akiba 500k, then wakat wa kuitoa mnikate kweli? Mtu kalipwa let say 300k mshahara wake, kuitoa bado akatwe tozo nakati keshalipia PAYE!

Hii tozo ya miamala ya bank kwa njia ya ATM inapaswa kutolewa maana ni wizi mtupu
 
Mwigulu amekuwa unpopular kwa kuweka kanuni za kiuchumi zinazomuumiza mwananchi. Angekuwa muungwana na kukiri alishindwa na kuachia nafasi yake kwa mwingine. Bahati mbaya sisi waafrika kujiuzulu ni msamiati mgeni.
 
Kufutwa tu kwa hizo tozo siyo suluhisho! Na Waziri mwenye dhamna alitakiwa kuwajibika.

Kiufupi tu hii Wizara tangu mwanzo tulisema haimfai! Angepangiwa Wizara ya Muungano na Mazingira huko, ila siyo Wizara ya Fedha na Uchumi.
 


Akizungumza leo bungeni, Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema uongezwaji wa wigo wa kukusanya mapato kupitia tozo uliibua malalamiko kwenye jamii, hivyo Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi iliagiza upitiwaji upya wa tozo hizi na kuzingatia maoni ya wananchi.

Marekebisho yafuatayo yamefikiwa-
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu kwa pande zote.​
  • Kufuta tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja na kutoka benki moja kwenda benki nyingine.​
  • Kutowahusisha wafanya biashara wadogo (merchants) kama ilivyokuwa kweye kanuni ya sasa.​
  • Kusamehe tozo ya miamala kwenye utoaji wa fedha taslimu kupitia wakala wa benki yaani ATM kwenye miamala yenye thamani ya chini ya tsh 30,000/=​
  • Kupunguza gharama ya miamala kwa asilimia 10-50 kutokana na makundi ya miamala​

Marekebiosho haya yataanza kufanya kazi Octoba 1, 2022. Aidha Serikali itafuta kodi ya zuio ya pango, hivyo kwa sasa itapaswa kulipwa na mmiliki wa nyumba na siyo mpangaji.

Kwa kuwa pesa hizi zitaipunguzia mapato serikali, Waziri ameelekeza Serikali ianze kubana matumizi yake mfano kwenye vikao, mafunzo ya semina, warsha, kukagua miradi n.k

Wataalamu wa wizara ya fedha na mipango ndiyo wamefanya mapitio haya wakiwa ofisini kwa kuwa ni sehemu ya majukumu yao. Taarifa za kuwa kuna tume iliundwa kutoka nje ya wizara ni uzushi.
Sasa wale waliohamia Burundi kwa maelekezo ya Waziri itakuwaje ?
 
Back
Top Bottom