beijing_07
Senior Member
- Jul 19, 2021
- 113
- 146
viongozi wafata upepo bhana shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni moja ya kundi la jamii jinga zaidi duniani. Yaani Upumbavu Kama huu wa tozo na watu washaanza kukatwa unaita kuupiga mwingi? Ajabu sanaNaona mama anaendelea kuupiga mwingi
Asikie na kilio cha katiba mpya sio kuipotezeabkwa kiki ya makato atafeliMama ni msikivu sana. Mwigulu alipotosha baraza kwa hizi kodi za mshikamano
SureNa bado. Mwigulu must go!
Kama makusanyo yatakuwa makubwa hawataondoa, kkinachoonekana ni kwamba kutuma na kuweka hela kupitia mitandao ya simu itapungua Hadi kupunguza kodi waliyokuwa wanakusanya mwanzoMpaka watakaporekebisha watakuwa wamekusanya pesa nyingi sana
Na watu tulishaanza kutafta kadi za bank hayo makato Yao yalikuwa wizi uliokubuhu aisee.Mwigulu Muongo hakuna cha Mh Rais wala nini ,Miamala imeshuka kwa kiwango kikubwa sana na kuhofia kwamba hadi kodi waliyokuwa wanaipata itashuka......Tozo ni mihimu kwa maendeleo ila waliyoiweka ni kubwa sana ,hawaoni wenzao wa REA ukinunua umeme wa elfu 1 unakatwa Tsh 25 hata mtu haufeel..
Uchumi mmeufanya kuwa mgumu sana hakuna Cha Rais, makamu, waziri Mkuu na waziri wa fedha ,,, Uchumi gani wa kijinga namna hiyo unawezaje kupandisha kodi kwa asilimia 110?Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hufai wwUlais wa kulisi
Siasa za kijuha za mwaka 1800's.kama kawaida ya ccm
tengeneza tatizo, litatue, uonekane shujaa
Kuwajadili UVCCM ni kupoteza muda wako mkuu. Hao ni "certified sukules". Upepo unapovumia,wao ndio uelekeo wao.Na si ajabu kama zitafanyiwa marekebisho kidogo, wale UVCCM, waliokuwa wamepongeza tozo hizo, watajitokeza tena kumpongeza Rais!!kuwa ni msikivu!!hii mijitu huwa hata siielewi, ina simamia wapi?bali ni kufuata upepo tu!!tatizo wameshatuona wananchi mabwege tu, yaani tatizo wanalitengeneza wao, huko wanalileta kwetu kwa makusudi , tukilalamika wanasema ngoja tukaliangalie upya, wanakuja na ufumbuzi watu tunaanza kushukuru tena, na kuwaona wanatupenda!!
Wananchi wana uelewa mpana sana sana zaidi ya wabunge 360+ wa Chama Cha Majambazi.Kumbe Wananchi wanauelewa Mpana wa Masuala ya KODI kuliko Mawaziri Wananchi ndio Wamegundua kuwa KODI hii MBAYA
[emoji23][emoji23] very true mfano Mimi Niko Dar kuliko nikatwe 7000/8000 napanda daladala na kumpelekea huyo mtu cash hafu na save nyingine. Kwa hili mwigulu alichemka Bora wangeweka tozo kidogo hafu watu wengi wawe wanatumaMwigulu nadhani anashindwa kuwaelewa watz ,sisi waTZ tunamaindi vitu vidogo sana ,tuko tayari kutembea kilomita moja kwenda kununua unga kilo 2 uliopunguzwa Tsh 100 na kuacha duka lililo mita 20 kutoka mlangoni mwake.
"People's voice is God's voice". Sauti za katiba mpya je? Imekuwa: Mbele, nyuma, kulia, kushoto; tembeaaaa.Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba...
Juice kama uji!!Acha tu mambo ya kwenye biashara inahitajika watu wabobezi kutoa ushauri wa kitaalamu maana effect yake huwa ni kubwa sana kama mtu akikurupuka ,kile walichokuwa wanakitarajia hawatokipata na kile walichokuwa wanakipata kitashuka...