cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi tangu wapandishe ya kutuma na kutuma sijihangaishi kabisa kumbe naweza kuishi bila kutuma na kutoa na ilibidi acha niende tu ATM hamna namna.Kwa muda mrefu nlikuwa natumia simu kufanya miamala ya fedha. Kwa ujambazi na uzandiki huu wa Mwigulu Nchemba nairudia ATM yangu. Eti Mwigulu anabwabwaja mate bungeni kuwa anawahurumia Watanzania!...
Hivi kwa nature yetu ni mtanzania gani utamkata Hela nyingi aendelee kutumia hyo huduma, I do believe transcations za mitandao zitashuka kabisa kuliko maelezo na mawakala kukosa ajira nchi nzima. Uchumi sio swala la majaribio