Kweli kabisaKabisaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKabisaa..
Mama yupo pale kibahati tu ila kiukweli hatoshi ,Tanzania ni dubwasha kuubwa sana kuongozwa na mwanamke mvivu wa kusoma
Yaani hawa wanasiasa wanatuchezea sana. Suala ni simpo. Tupunguze sana kutumia simu za mkononi. Nadhani turudishe simu za line za ttcl. Kwani kule kuna tozo? Wakishituka tutatafuta mbadala. Ila na sisi tunazitumia sana hizo simu za mkononi. Kwani tusipozitumia itakuwaje? Mbona zamani hazikuwepo na maisha yaliendelea. Tujifunze kutozitumia sana. Yaani tupungue matumizi.Nimesgangazwa kuona maagizo ya Rais kwa Waziri wa Fedha eti waangalie upya suala la Tozo za simu!
Hivi Rais alikuwa hajui ataenda kuingiza Tsh ngapi mpaka sasa ndo anakuja kukurupuka kama hajui lolote hivi!
Yaani Wizara inaandaa bajeti, bajeti inaenda bungeni inajadiliwa, inapita alafu sasa anatoka Burundi huko anakuja kusema angalieni upya! Futa kabisa maana huko tunalipa VAT.
Bonge la boya hapa townNilisema haijawahi kutokea waziri wa Fedha kutokea mkoa wa singida tangu nchi ipate uhuru. Sasa yameonekana. Jiuzulu babu
Mama dikteta ametema ndoano!Mama ni msikivu sana. Mwigulu alipotosha baraza kwa hizi kodi za mshikamano
Sio kirahisi hivyo ndugu yanguYaani hawa wanasiasa wanatuchezea sana. Suala ni simpo. Tupunguze sana kutumia simu za mkononi. Nadhani turudishe simu za line za ttcl. Kwani kule kuna tozo? Wakishituka tutatafuta mbadala. Ila na sisi tunazitumia sana hizo simu za mkononi. Kwani tusipozitumia itakuwaje? Mbona zamani hazikuwepo na maisha yaliendelea! Tujifunze kutozitumia sana. Yaani tupungue matumizi.
Katika ulimwengu wa tafakuri tunduizi, tunaamini kuwa "[k]ila binadamu ana uwezo wa kufikiri, lakini si kila mtu anaweza kufikiri kwa umakini. Ili kufikiri kwa umakini, mtu anapaswa kufundishwa" (Elder & Paul, 2008). Kama hivi ndivyo, basi usiweke mategemeo makubwa kwa mtu kisa tu ni msomi. Elimu isiyo sahihi na utamaduni vina mchango mkubwa sana katika kuua tafakuri tunduizi. Huu ni ugonjwa kwa nchi za Kiafrika, Tz ikiwemo.Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba.
"Nitoe rai kwa wananchi kuwa Serikali imesikia malalamiko ya wananchi na tayari tumeendelea kuyafanyia kazi, Waziri Mkuu ameshaitisha kikao kesho kuendelea kupitia masuala haya haya."
"Kwa sababu hii ni sheria ya Bunge, na tayari imeshapitishwa na inatakiwa kutekelezwa, lakini kuna maeneo ambayo yanaangukia kwenye kanuni ambazo zinaangukia Wizara ya Fedha na Wizara ya Teknolojia ya Mawasiliano."
Halafu kuna watu wataandaa maandamano ya kumpongeza kwa alichofanya.Wanatengeneza tatizo na kulitatua halafu wanataka wasifiwe.
Sasa tufanyeje? Maana wanatuonea sana hawa wanasiasa. Halafu wanaongea kwa kiburi utafikiri sisi ni watoto wao. Tena watoto wa kindergarten!Sio kirahisi hivyo ndugu yangu
Yaani Jumong anapwaya sana!!!!Halafu kuna watu wataandaa maandamano ya kumpongeza kwa alichofanya.
Hawamtakii mema...wanamwingiza mjiniMama yupo pale kibahati tu ila kiukweli hatoshi ,Tanzania ni dubwasha kuubwa sana kuongozwa na mwanamke mvivu wa kusoma
Kuandamana watatupiga risasi tuwe wapole tu huku tukilalamika labda watasikia kilio chetuSasa tufanyeje? Maana wanatuonea sana hawa wanasiasa!!!! Halafu wanaongea kwa kiburi utafikiri sisi ni watoto wao!!!! Tena watoto wa kindergarten!!!!
Hili suala lilizungumzwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri, na yeye Samia akiwa kama Mwenyekiti wa baraza. Waliyajadili, wakakubaliana na ndo maana likapelekwa bungeni kama muswada.Nimesgangazwa kuona maagizo ya Rais kwa Waziri wa Fedha eti waangalie upya suala la Tozo za simu!..