MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Halafu huyu mjamaa 2030 atakuwa front kabisa kwenye kutaka urais... Mungu atusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natofautiana na wewe. Wanaohitajika ni wachumi wabobezi maana wana uwezo wa kuangalia kile kinachoitwa picha kubwa. Finance ni sehemu moja tuu ya uchumi...
Secretary of the Treasury wa Marekani, Janet Yellen ana Ph.D in Economics. Aliyemtangulia, Steven Mnuchin nae alikuwa Economist. Rishi Sunak wa Uingereza nae alisomea Economics kabla ya kuchukua MBA. Waziri wa fedha kazi yake ni zaidi ya ku-manage funds za serikali. Yeye sio glorified book keeper.Ndugu haswa wewe ndio umeiweka vizuri. Ona kwamba wachumi wengi wako central bank (BOT) exactly huko ndio kwao na sio wizara ya fedha. Hapana Finance sio sehemu moja ya uchumi - hapo ndio wengi mnachanganya. Labda useme uhasibu ndio sehemu moja ya Finance. Pia usichanganye Finance na Uhasibu hivi vitu ni viwili tofauti. Ndio maana chuoni kama UD utakuta Bcom ina mchepuo wa Finance na Accounting ni michepuo tofauti kabisa
Kwa mara ya kwanza nimetembea na pesa mfukoni leo siku ya nne.Mama ni msikivu sana. Mwigulu alipotosha baraza kwa hizi kodi za mshikamano
Ina maana hawakujua kama kuna haja ya kupitia hizo sheria kabla ya kuleta tozo?