Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya
Hawa wote ni wajinga shirikishi hawana nia ya dhati kushughulika na kero za watanzania
 
Serikali SIKIVU.....

Serikali ADHIMU....

KONGOLE KWA VIONGOZI WETU🙏
Kwani hizo tozo zimetoka serikali ya KENYA..!?? Yaani wao watengeneze tatizo halafu wajifanye kulitatua, na watu kama wewe mtoe kongole kwa huyo huyo aliyeleta tatizo...!!!! SHITI YA BULU
 
Wazigua Hapo!!!
Wakasema "Funda Na Mruzi Havikwivina "
Wakati Unatafuta Huku Upige Mruzi Havipatani
😀😁😂😃😃😆😆😅😄😃😃😂😂
Waha Wakasema
"Aho Lelo "😂😂😁😀
(Hapo Sasa)
 
Serikali sikivu iko kazini!

Asante sana PM kwa maamuzi haya!

#KaziIendelee
 
Huyu hapa

IMG-20210718-WA0139.jpg
 
Nadhani Serikali imegeuka mradi wa kupiga pesa kwa wananchi kiuonevu...
 
Niwe muazi tu mm nilikuwa mdau mzur wa kutumia tigopesa ila sio siri tangia taree 15 sijafanya muamala ww wa tigopesa
 
Sifa Kuu za wakutanao kwa Kikao cha utatuzi wa 'Tozo Umiza na Komoa' ni kwamba wa Kwanza ni Muongo sana.

Ana dhambi Kubwa ya kudanganya kaongea na maiti na kumjibu ni mzima,

Pili anachokivaa Shingoni Kinamzidishia Upuuzi mno Kichwani mwake,

Tatu ni kama vile Wizara anayoingoza imemsababishia utaahira kwani yupo yupo tu na haeleweki wakati hiyo Wizara inahitaji mtendaji mwenye akili nyingi ambazo kwa bahati mbaya hana.
 
Mnadhani ni ukweli kabisa ya kwamba Majaliwa kassimu Majaliwa alikuwa na taarifa za kifo wa Chuma JPM,

Alafu akamua tuu yeye kusema JPM yuko mzima.
Doest it make clear sense in your head ?

Mpaka leo !?
 
You have over talked bro.
Una hoja ila uwasilishaji umekuangusha.

Tuko pamoja mkuu.
 
Sifa Kuu za wakutanao kwa Kikao cha utatuzi wa 'Tozo Umiza na Komoa' ni kwamba wa Kwanza ni Muongo sana na ana Dhambi Kubwa ya Kudanganya Kaongea na Maiti na Kumjibu ni mzima, wa Pili anachokivaa Shingoni Kinamzidishia Upuuzi mno Kichwani mwake na wa Tatu ni kama vile Wizara anayoingoza imemsababishia Utaahira kwani yupo yupo tu na haeleweki wakati hiyo Wizara inahitaji Mtendaji mwenye Akili nyingi ambazo kwa bahati mbaya hana.
Wa 3 naweza kukubaliana na ww kwa mwonekano wake wa leo,wkt wakitutangazia watakaa kuziangalia upya tozo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
You have over talked bro.
Una hoja ila uwasilishaji umekuangusha.

Tuko pamoja mkuu.
Usilazimishe niwe naandika utakavyo Wewe sawa? Na iwe mwanzo na mwisho Kunipangia nini cha Kuandika na Mtiritiko wake sawa?

Na siku zote Uwasilishaji wangu wa Kipekee umekuwa ni Kero kwa Wapumbavu wengi kama Wewe ila kwa Werevu wachache hapa JamiiForums huwa wananielewa.
 
Usilazimishe niwe naandika utakavyo Wewe sawa? Na iwe mwanzo na mwisho Kunipangia nini cha Kuandika na Mtiritiko wake sawa?

Na siku zote Uwasilishaji wangu wa Kipekee umekuwa ni Kero kwa Wapumbavu wengi kama Wewe ils kwa Werevu wachache hapa JamiiForums huwa wananielewa.
Much respect mkuu.
Mimi mpumbavu hujakosea bro.
 
Back
Top Bottom