Kwa sababu Uzi wako umewahusisha wazazi ndo nakwambia wewe na wazazi wako hamna akili bahati Baya hamjajua kuwa akili hamna
Kivumbi Kila siku jambo!..[emoji28]
Aah sawa kwani una miaka mingapi?Sijawahi kumuharibu mtoto wa mtu ndio maana nataka malighafi safi
Sio hizi zisizo na break
Aah kumbe nikajua zinakutimia.Sina umri
Umri ni kitu gani?
Hainaga makombo,utulivu kwenye ndoa haijalishi bikra au sio bikra kikubwa dua
Aah kumbe nikajua zinakutimia.
Bikra niitoe wapi mtoto angu.Wewe kama bikra hauna pita kulee acha visingizio
Bikra niitoe wapi mtoto angu.
Wadada wenye bikra ingekua rahisi kuwabaini,hakika kila mtu angekimbilia kuwaoa,na kuwaacha ambao hawana.Wasio na bikra,washukuru tu kwamba wanaowafuata kuwaoa,hawajawapata walio na bikra.
We niambie kuoa bikra kumekusaidia Nini kimaendeleoSijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sanaa na ni mzembe
Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used ,wewe ndio uanze kumtumia
Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee
Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua
Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord
Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!
Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra
View attachment 2704135
Asante kwa ushauriAh ah ah wachunge/watunze wanao waje! Kukupa heshima
Bac hutaoa...🤣Yaani we utoe bikra za watu huko afu unategemea bikra ishuke mbinguni ..labda uoe demu wa la nneNgoja nipapambe nimpate binti ambaye ajatolewa madamu nikaoe aisee
Ukweli mchungu sanaa mkuu, wanabidi waolewe na waliowatoa bikra haina budi, siwezi kuoa msichana ambae sio bikra... never
Ukimpata,oa,ni fahari sana kumuoa mwanamke uliyembikiri.Ntahakikisha naoa bikra, ni ngumu sana kuwajua ila ni wapo wengi sanaa
We niambie kuoa bikra kumekusaidia Nini kimaendeleo
Ukimpata,oa,ni fahari sana kumuoa mwanamke uliyembikiri.
Utaoa mtoto wa darasa la nneNtahakikisha naoa bikra, ni ngumu sana kuwajua ila ni wapo wengi sanaa
🤣Kumbe unaleta mambo ya Mungu . Bac we tafuta huyo demu wako anaofata hizo sheria za kiarabu na kiyahudi za miaka 1000 iliyopita kuhusu jinsi ya kuishi jangwani umuoe...la sivyo kupata mwanamke aliyesoma na anajielewa kimaendeleo utasubiri sanaMungu hataki uzinzi hauwezi kuanza kushiriki tendo kabla ya ndoa
Muulize Mungu kwanini? Kaamrisha tufunge ndoa ndio tushiriki tendo