Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Wadada wenye bikra ingekua rahisi kuwabaini,hakika kila mtu angekimbilia kuwaoa,na kuwaacha ambao hawana.Wasio na bikra,washukuru tu kwamba wanaowafuata kuwaoa,hawajawapata walio na bikra.
 
Sijakosea kichwa cha habari ni hivi kama haujaoa msichana ambaye ni bikra wewe ni mwanaume mjinga sanaa na ni mzembe

Na ambao bado hamjaoa hakikisheni mnaoa wasichana mabikra, msichana ambaye utamuoa awe ni bikra yaani msichana ambaye sio used ,wewe ndio uanze kumtumia

Acha kufikiria ujinga ni wapo tena wengi tu, wazazi ongeeni na mabinti zenu wazitunze bikra zao msione haibu hata kama ninyi hamjabahatika kuolewa na bikra zenu msitake watoto zenu wawe kama ninyi, na wazazi ongeeni na vijana wenu wahakikishe wanaoa wasichana mabikra msiendeleze ujinga mlioufanya ninyi uendelee , ujinga wa watu waliooa wasichana ambao sio mabikra usiendelee

Kuna raha yake kupata gari halijatumika yaani halijatembea hata km 1 wewe ndio wa kwanza kulitumia, kwanza matatizo ya gari yako wewe ndio utaanza kuyajua na haitakuwa tena na usumbufu Kama likianza kusumbua

Msichana ambaye sio bikra asiolewe, mkiendelea kuwaoa wasichana ambao sio mabikra mtawaendekeza waendelee kutotunza bikra zao ,wasichana wadogo anaoona mnaoa wanawake ambao hawana paswoord

Kinga inapotea kwa msichana ambaye hana bikra, believe me na kwa hili watachukia, ila kama bahati yako umeolewa msaidie kumtunza mwanao aitunze bikra yake, na thamani ya mapenzi hawaijui vizuri , wanaipunguza thamani ya mapenzi wanajua wenyewe % ingine wanaipeleka wapi!!

Kataa kuoa msichana ambaye sio bikra
View attachment 2704135
We niambie kuoa bikra kumekusaidia Nini kimaendeleo
 
Ngoja nipapambe nimpate binti ambaye ajatolewa madamu nikaoe aisee

Ukweli mchungu sanaa mkuu, wanabidi waolewe na waliowatoa bikra haina budi, siwezi kuoa msichana ambae sio bikra... never
Bac hutaoa...🤣Yaani we utoe bikra za watu huko afu unategemea bikra ishuke mbinguni ..labda uoe demu wa la nne
 
Mungu hataki uzinzi hauwezi kuanza kushiriki tendo kabla ya ndoa

Muulize Mungu kwanini? Kaamrisha tufunge ndoa ndio tushiriki tendo
🤣Kumbe unaleta mambo ya Mungu . Bac we tafuta huyo demu wako anaofata hizo sheria za kiarabu na kiyahudi za miaka 1000 iliyopita kuhusu jinsi ya kuishi jangwani umuoe...la sivyo kupata mwanamke aliyesoma na anajielewa kimaendeleo utasubiri sana
 
Back
Top Bottom