Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Hivi nikisema au nikiuliza kuwa yawezekana na yeye kuwa ni miongoni mwa wale watoto ambao walikuwa wanatekenywa enzi za utoto wake ila hakujulikana haraka kutokana na wakati vipimo vinafanyika yeye alikua ibadani nitakuwa nakosea.?

Mnisamehe tu ila ni mawazo yangu.
 
No surprise here. Ilikuwa ni suala la muda tu kwa kanisa ku-endorse hiyo movement, hasa ukizingatia scandals za wahubiri wao na little boys.

Myself, I got no problem with mfs wanna take it up where the sun don't shine, that's their sh!t. Matterfact, I'm down with one of them Ls show, be a spectator or participant. Only problem I got with them rainbow folks is forcing their agenda everywhere everytime.
 
Amevimbiwa sadaka zetu sasa watoto wetu wa kiume huku RC tuwenao makini
FeYc3j0XgAEJYSP.jpeg
 
Papa Francis amekosoa sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja kuwa "sio haki", akisema Mungu anawapenda watoto wake wote jinsi walivyo na kuwataka maaskofu wa Kikatoliki wanaounga mkono sheria hizo kuwakaribisha watu wa LGBTQ kanisani.

"Kuwa mpenzi wa jinsia moja si kosa," Francis alisema wakati wa mahojiano Jumanne na The Associated Press.
Francis alikiri kwamba maaskofu wa Kikatoliki katika baadhi ya sehemu za dunia wanaunga mkono sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja au kubagua jamii ya LGBTQ, na yeye mwenyewe alitaja suala hilo kwa maneno ya "dhambi".

Lakini alihusisha mitazamo hiyo na asili ya kitamaduni na kusema maaskofu hasa wanahitaji kupitia mchakato wa mabadiliko ili kutambua utu wa kila mtu.

"Maaskofu hawa wanapaswa kuwa na mchakato wa uongofu," alisema, akiongeza kwamba wanapaswa kutumia "huruma, upole, kama Mungu ana kwa kila mmoja wetu".

Baadhi ya nchi 67 au mamlaka duniani kote zinaharamisha shughuli za ngono za watu wa jinsia moja zilizokubaliwa, 11 kati ya hizo zinaweza au kutoa hukumu ya kifo, kulingana na Human Dignity Trust, ambayo inafanya kazi kukomesha sheria hizo. Wataalamu wanasema kwamba hata pale ambapo sheria hazitekelezwi, zinachangia unyanyasaji, unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wa LGBTQ.

Akitangaza sheria kama hizo "sio za haki", Francis alisema Kanisa Katoliki linaweza na linapaswa kufanya kazi ili kukomesha. "Lazima ifanye hivi. Ni lazima ifanye hivi,” alisema.

Francis alinukuu Katekisimu ya Kanisa Katoliki kwa kusema wapenzi wa jinsia moja lazima wapokewe na kuheshimiwa, na hawapaswi kutengwa au kubaguliwa.

BBCswahili.com

================
Hapa ndipo ninapomkubali saaana Kamanda PUTIN
 

Attachments

  • Screenshot_20230125-144642_Facebook.jpg
    Screenshot_20230125-144642_Facebook.jpg
    219.6 KB · Views: 25
  • 20220526_163324.jpg
    20220526_163324.jpg
    60.9 KB · Views: 22
  • 20221105_071249.jpg
    20221105_071249.jpg
    37.1 KB · Views: 19
  • FB_IMG_1672474120483.jpg
    FB_IMG_1672474120483.jpg
    89.1 KB · Views: 24
  • 20220718_141608.jpg
    20220718_141608.jpg
    31.5 KB · Views: 24
Wakaedit Basi na maandiko yanayokemea ushoga na usagaji kwny biblia tuelewe Moja[emoji3525]
Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread

Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli

Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"

Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu

Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA

Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka

M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.


Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba

Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
 
Back
Top Bottom