Ni wapi imeonyesha kaisemea dunia nzima? Kuna nchi hata haiutambui ukristo, na sio wakristu wote kiongozi wao ni papa.Jambo uhesabika kama uharifu kutokana na sheria ya nchi husika kwenye nchi yako kutembea na mke wa mtu au kufanya uzinzi sio uharifu lakini kuna baadhi ya nchi ukitembea na mke wa mtu unahesabika kama uharifu mwingine na unaenda jera.
Hivyo papa hapaswi kuisemea dunia nzima .
Naona lishoga lipo humu linatudengulia.Machukizo mbele za mungu uliongea nae sangapi? Kiherehere tu.
Halafu kama ni machukizo mbele za mungu, wewe kinachokuwasha nini?
Ushoga usiufananishe na uchepukaji wetu ππ japo zote ni dhambi mbele za Mungu hakuna anayepinga.Kwenye macho ya Mungu wote nyinyi ni wachafu wafanya zinaa,
Shoga na wewe mtembea na mke wa mtu tena wewe hukumu yako ilikua upigwe mawe hadi ufe,
Wazinzi msijitete
Ni member wa freemason yule aliyekufa alipinga akaona kuliko kumkosea MUNGU ni bora anawe asiwe na hatiaPapa kazidiwa nguvu na Ibirisi.
Ni fedheha kwa Kanisa Katoriki.
Kwahiyo Papa ameongea tendo hilo siyo uharifu, kwa niaba ya nchi gani.Jambo uhesabika kama uharifu kutokana na sheria ya nchi husika kwenye nchi yako kutembea na mke wa mtu au kufanya uzinzi sio uharifu lakini kuna baadhi ya nchi ukitembea na mke wa mtu unahesabika kama uharifu mwingine na unaenda jera.
Hivyo papa hapaswi kuisemea dunia nzima .
Nakujibu,Mjibu hivi," Ile sehemu imetengwa maalumu kwa kazi hiyo, kinyume na hapo ni unajisi"
Mkuu naomba unitumie hiyo video mashoga wakifungishwa ndoa. Kiukweli imenipita.Tayari imesharipotiwa tukio la ndoa ya jinsia moja ndani ya kanisa katoliki mwaka jana 2022. Haya ni matunda ya kuwakumbatia mashoga, hawafukuzwi kanisani lakini hawapaswi kuonesha kuwasapoti hadi kufikia ndoa.
Na kauli kama hizi zinawafanya hao mashoga kuwa na nguvu na kuona ni haki yao kuishi hivyo( ni dhambi kama ulivyosema) dhambi haikumbatiwi inakemewa na kutokomezwa.
Huyu papa siye kabisa toka day one. Huu ukatoliki naweza uacha tu.
Ona sasa hata uhalalishaji wake ni kauli za kitatakitata mtupu.
Hivi mwanaume kwa mwanaume wakioana mbona hata ile kutimiziana ni jambo la kulazimisha katika uchafu?
Hata isingekuwa imani au dini au kitu gani, ile asilia pekee inagoma kabisa?
Ni uchaguzi wa kishenzi hata wanyama hayawani hawaendekezi.
Lakini una shangaa wapo viongozi wa imani wana jaribu kushawishi ueneaji wa tabia hovyo kabisa.
Kwamba kiongozi wa imani ana chagua mashoga kama kundi la kutetewa kwa nguvu zote katika makundi yote yanayoteseka hapa duniani.
Kuna maskini, wagonjwa, wanaokufa vitani sehemu mbalimbali duniani nk.
Hao wote si kitu. ila mashoga waonewe huruma kweli? Yaani baba aone huruma kwa mwanae wa kiume kutaka kuolewa na mwanaume mwenzake?
Sasa naafiki kuwa kazi ya shetani inaelekea kufanikiwa.
Nadhani huku Afrika imefika wakati kuachana na hizi imani za kuletwa.
Maana ni uthibitisho kuwa zilitumika kwa malengo ya kutuangamiza kimwili na kiroho.
Inakera.
Unasali kanisa gani Mcharo, kwa Mwamposa, Kuhani Musa, Suguye au kwa Nabii Mkuu?Huyaoni yanavyotembea vidole kule na kule
Ukiipata nipasie tafadhaliMkuu naomba unitumie hiyo video mashoga wakifungishwa ndoa. Kiukweli imenipita.
Habari haitoshi mimi naona atutumie video wanavyofungishwa ndoaTuwekee hiyo habari hapa tafadhali. Imefanyika wapi ? Tupe habari kamili tuisome
Hakika watu wanamuongelea siku nyingi sana.Ni member wa freemason yule aliyekufa alipinga akaona kuliko kumkosea MUNGU ni bora anawe asiwe na hatia
Hilo neno Zombi limetoka kwenye kamusi ipi?Zombi ni hali ya kupagawa na roho chafu ya kishetani. Ushoga ni namna mojawapo ya uzombi bila msaada hakuna kuchomoka.
Mtu yeyeto anaependa Sana kukojolewa akili yake huwa na shaka.Unataka kusema hao wanawake zenu mnaowakojolea hawana akili wameondolewa utu? [emoji15]
Mtu yeyeto anaependa Sana kukojolewa akili yake huwa na shaka.Unataka kusema hao wanawake zenu mnaowakojolea hawana akili wameondolewa utu? [emoji15]
ItapendezaHabari haitoshi mimi naona atutumie video wanavyofungishwa ndoa
Nyote ni Wazinifu bhana usitake kuleta mambo mengi, tena nyie mnaojisifu kutembea na wake za watu si ndio nasikia hua kuna mafuta mnapakwa au? π€Ushoga usiufananishe na uchepukaji wetu ππ japo zote ni dhambi mbele za Mungu hakuna anayepinga.
Ila Ushoga ni zaidi ya kuwa tu dhambi!
Miye nayechepuka na mke wa mtu tunatumia njia halali za tendo la ngono ila hatuna tu LESENI ya kuhalalisha hako kamchezo ketu ππ
Sasa wewe mashoga unaowatetea sijui nisemeje πππ