Boss naomba unionyeshe hekari hizo 20? Huwa napenda kujifunza nijue vitu vingi
 
Usiwe mshamba wa Mjini.
Nenda kathibitishe utuletee mrejesho kwani unashindwa nini kuuliza tu pale Posta, wapi liliko Kanisa la Freemason
Mimi sijaleta madai hayo. wewe uliyeleta madai kuwa ni Freemason ndio unatakiwa kuthibitisha. Yaani umpeleke mtuhumiwa wa wizi mahakamani halafu umwambie yeye alete ushahidi kuwa aliiba?
 
Usiwe mshamba wa Mjini.
Nenda kathibitishe utuletee mrejesho kwani unashindwa nini kuuliza tu pale Posta, wapi liliko Kanisa la Freemason
Boss mimi nilitaka kujua hilo jengo ni lile freemason HALL au kuna jengo lingine limeandika kanisa la freemason kama unavyodai?
 
Boss naomba unionyeshe hekari hizo 20? Huwa napenda kujifunza nijue vitu vingi
KWA macho ya kawaida huwezi ona, ukiwa na macho ya kuona uzuri wa mji wa Gamboshi wenye ghorofa refu l ghorofa 140 na treni ya kisasa toka Gamboshi hadi Bermuda triangle kupitia lagos utaweza ona huo ukubwa wa heka 20 za jengo la freemason posta nyuma ya Kempsink hotel
 
Tatizo hili kweli dini ni imani
 
Anhaa.. kumbe unazungumzia KWA upande wa ki IMANI zaidi hapo SAWA KWA sababu maswala ya kiimani huwa hayana uthibitisho huenda ukawa tu umetunga kutufurahisha. Mana nipishapewa stori nyingi sana wengine wakisema hekari10, mwningine5, mwingine 50 wengine WANASEMA ni chama cha misaada kwahyo ni stori nyingi huwa kila mtu anajitungia. Kama ungenipa ushahidi unaonekana kiukweli ningekubaliana na wewe ILA nishasikia stori nyingi mpaka basi
 

Mambo ya kiroho uthibitika kiroho kwa matokeo ya kimwili
 
Nilitaka kujua mana mimi hilo jengo sijawahi kuliona lililoandikwa "KANISA LA FREEMASON" ILA naliona "FREEMASON HALL" ndo mana nilitaka kujua
Lipo nenda kaulize pale pale Posta ya Zamani, utaoneshwa.
 
Mambo ya kiroho uthibitika kiroho kwa matokeo ya kimwili
Ndo mana nikasemaje havina uthibitisho KWA sababu kila mmoja hiyo sehemu anataja anachokijua yeye. Wewe ni mwanadamu unayesema kuna hekari20, na wapo watu waliniambia hekari50, 10, 5 na mambo mengine mengi. Ndo mana kasema hilo ni unalijua wewe kwa mana halina uthibitisho ni hayo tu
 
Ingekuwa Dini ni siasa, muda mchache tu wafuasi mbali mbali duniani wangeanza kurudisha kadi na kujivua uanachama baada ya Mkulungwa kutoa kauli hiyo! Ila kwa bahati mbaya Dini ni kitu ambacho anaepewa ana nguvu zaidi kuliko ilikotoka.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Nimerudisha kadi rasmi ya Kanisa Katoriki la Roma.
 
Elewa kati ya kufanya jambo kwa kificho na kifanya jambo kihalali.
Sasa ukiishafanya ndoa za jinsia moja kuwa ni haki kisheria then nani atajutia tendo la haki ili alitubie?
Kwa hiyo kujaribu kumwita kanisani ili atubu ni uongo wako maana anachokifanya ushamwidhinishia kuwa ni haki yake.
 
Ushafika na kuuliza ?
Ndio boss. Ila wengi freemason HALL ndiyo huwa WANASEMA kanisa lakini sijawahi kuona jengo limeandikwa kanisa la freemason ILA wengi watakuonyesha freemason HALL hoja yangu ni hilo neno KANISA. Ndo mana nikamuuliza limeandika kanisa la freemason mimi picha za freemason HALL zipo kwenye mitandao hata wewe unaweza kuiona ILA jengo lililoandikwa KANISA LA FREEMASON ndiyo linalotatiza huenda labda sijatembea sana. Unaweza kutumia pic ya hilo jengo lililoandikwa KANISA LA FREEMASON?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…