Hakupswa hata kugusia au alipaswa asisitoze tu uharamu wa dhambi yoyote siyo kupromoteSitetei ushoga lakini sikiluzeni enyi watu mnao kremu hata maadili!
Hivi mbona hamuwazuii wezi kuingia kanisani kwani sio watoto wa Mungu?
Mbona hamuwazuii walevi kuingia kanisani…?
Mbona hamuwazuii malaya…?
Wachawi?
Mlitaka Papa awatenge mashoga lakini awaache malaya?
Papa hajaruhusu ushoga ila anasema tusiwatenge watu hao tuwapokee makanisani na kuwasaidia. Kwani hatwapikei wezi na wakosefu wengine na kuwasaidia?
Hawawezi kukuelewaa hata. Wabongo ni wanafiki na umaskini umewajaaa lolSitetei ushoga lakini sikiluzeni enyi watu mnao kremu hata maadili!
Hivi mbona hamuwazuii wezi kuingia kanisani kwani sio watoto wa Mungu?
Mbona hamuwazuii walevi kuingia kanisani…?
Mbona hamuwazuii malaya…?
Wachawi?
Mlitaka Papa awatenge mashoga lakini awaache malaya?
Papa hajaruhusu ushoga ila anasema tusiwatenge watu hao tuwapokee makanisani na kuwasaidia. Kwani hatwapikei wezi na wakosefu wengine na kuwasaidia?
Tuoneshe sentence moja ya papa inayopromote ushoga.Hakupswa hata kugusia au alipaswa asisitoze tu uharamu wa dhambi yoyote siyo kupromote
"Kuwa Shoga sio uhalifu"Tuoneshe sentence moja ya papa inayopromote ushoga.
Kuwa shoga ni uhalifu?! Hivi kuwa kiziwi ni uhalifu? Ujue ushoga ni hali wanayokuwa nayo watu kutokana na aidha mazingira walimokulia, au hali ya kuzaliwa hivyo kijenetic. Huwezi kumwita mtu mwenye hali hii mhalifu. Wengi hawaelewi hapa."Kuwa Shoga sio uhalifu"
Ni sentensi ya kupromoti Ushoga.
Hivi kwa akili zako mtu akimsababisha mwanao wa kiume kuwa shoga hajafanya uhalifu ?
Unaweza kunitajia faida nne tu Ushoga katika jamii ?
Hapo anahamasisha nchi zinazo pinga Ushoga ziache na badala yake ziuhalarishe.
Maana yake ni kupinga Amri ya Mungu.
[Mwanzo 2:24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja]
Na kupinga Amri ya Mungu ni uhalifu namba moja.
Kumfanya mwanaume kuwa Shoga ni Uhalifu mkubwa sana.
Subiri wanao wote wa kiume wawe Mashoga ndio utaujua uhalifu wake.
Mazingira yepi yanayosababisha mtu kuwa Shoga.Kuwa shoga ni uhalifu?! Hivi kuwa kiziwi ni uhalifu? Ujue ushoga ni hali wanayokuwa nayo watu kutokana na aidha mazingira walimokulia, au hali ya kuzaliwa hivyo kijenetic. Huwezi kumwita mtu mwenye hali hii mhalifu. Wengi hawaelewi hapa.
Bora usemee wee, tena wakuelewee.Yupo sahihi kwa sababu we mtu kaamua kutumia kitako chake wewe ambae hukitumii unaumia nini?
Utazaa mtoto shoga muda utasema!Acheni ushoga,wasio na mtoto kama hao ndio wanashadidia ushoga.
rudi shule uongeze uelewa yani mazuzu ni wengi sana bongoMajanga, ndio maana Huwa sisali hii ni miradi ya watu ndio maana wanasapoti upumbavu na ushetani
lini Mungu Amefuta Amri ya "USIUE"??Wanastahili kuuawa tu
Litakuwa lishoga limungu lako mkuu.lini Mungu Amefuta Amri ya "USIUE"??
Unaona Mungu Yupo likizo eeh?!
Soma hii ayati halafu!;Litakuwa lishoga limungu lako mkuu.
Asante.
Simwogopi mungu wako na nitaendelea kumkufuru.Soma hii ayati halafu!;
[emoji116][emoji116]
وَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَّا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَـٰنُ الرَّحِيمُ
[ AL - BAQARA - 163 ]
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Endelea kukufuru na kujipa wepesi wa finnari jehannam halidina fiha abadan!
Tutubwi hutoki![emoji91][emoji91][emoji91]
Mungu wetu ni mmoja!Simwogopi mungu wako na nitaendelea kumkufuru.
YesMungu wetu ni mmoja!
waislamu dirisha dogo vichekesho!
Kaibishie quran mimi hayanihusu nimenukuu tu dogo![emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
وَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَّا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَـٰنُ الرَّحِيمُ
[ AL - BAQARA - 163 ]
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.