Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Hakupswa hata kugusia au alipaswa asisitoze tu uharamu wa dhambi yoyote siyo kupromoteSitetei ushoga lakini sikiluzeni enyi watu mnao kremu hata maadili!
Hivi mbona hamuwazuii wezi kuingia kanisani kwani sio watoto wa Mungu?
Mbona hamuwazuii walevi kuingia kanisani…?
Mbona hamuwazuii malaya…?
Wachawi?
Mlitaka Papa awatenge mashoga lakini awaache malaya?
Papa hajaruhusu ushoga ila anasema tusiwatenge watu hao tuwapokee makanisani na kuwasaidia. Kwani hatwapikei wezi na wakosefu wengine na kuwasaidia?