Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukaa kimya nako ni kutotekeleza wajibu. Lazima viongozi wa dini wawajibike kurekebisha jamii, na mashoga huwezi ukawatengenezea kisiwa chao wakae peke yao, lazima wahubiriwe neno wakiwa katika jamii zetu.Hayo maneno kama angeongea kiongozi wa waislam saa hz huu uzi angekua anatukanwa muhammad tu lakini sijaona muislam hata mmoja kamtukana
💪💪Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread
Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli
Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"
Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu
Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA
Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka
M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.
Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba
Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
Ndio maana nikasema huwa sichangii mada ambazo watu wapo emotional zaidi na nikichangia ni kwa nadra sana hasa masuala ya dini, siasa au kabila za watuUshoga sio dhambi ya kipekee iliyosababisha moto sodoma? Anyways, mm nimekuwa nikidhani ushoga kwa wakristo ni dhambi ya kipekee sana huenda nilikuwa wrong.
Basi kwa sababu ushoga na pampas ni mapacha, wanaume tukubaliane kuwa ni dhambi ya kipekee isiyofaa hata kama papa hataki.
Na papa ametamka wazi kuwa ni dhambiUshoga sio dhambi ya kipekee iliyosababisha moto sodoma? Anyways, mm nimekuwa nikidhani ushoga kwa wakristo ni dhambi ya kipekee sana huenda nilikuwa wrong.
Wazee wa upinde 😀😀😀😀tunawaonaUzinzi Ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zinawajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Kwa nini akae kimya? Kumnyonga mtu aliyeua ni sheria ya nchi kadhaa ikiwemo Tanzania. Lakini kanisa linaipinga hiyo sheria. Je, unataka kusema kanisa linaunga mkono watu wawaue wenzao?Swala kuwa uhalifu au sio uhalifu sio kazi yake! Kazi yake kuu ni injili na abebe ujumbe wa wokovu " tubuni na kuiamini injili".
kusoma ni fani za watuKwa hiyo Papa nae anafirana sio haya bhana!!
Dhambi ya uzinzi haifanani na ushoga ata kidogo ndyo maana aliwaangamizaa watu wa sodoma na gomoraaUzinzi Ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zinawajinga wengi ktk Mambo ya dini.
...... Asante kwa ufafanuziHuwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread
Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli
Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"
Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu
Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA
Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka
M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.
Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba
Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
Uzinzi Ni Uchafu sawwa na ushoga hizo dini zinawadanganyaDhambi ya uzinzi haifanani na ushoga ata kidogo ndyo maana aliwaangamizaa watu wa sodoma na gomoraa
Yuko sahihi. Kwanza hauwezi kumjua huyo shoga mpaka umchungulie huko vyumbani anafanya nini. Hii mambo ya kuitana mashoga kwa muonekano wa mtu, au sauti au tembea siyo njia sahihi kwa watu waliostaarabika. Kwa hiyo na wewe uko tayari tukuchunguze unafanya nini vyumbani na bafuni?
Hapo ni kwako mkuu?Najiuliza mbona hivi vifaa vimekua vingi mtaani? Kumbe watoto wa kiume wanazid kuharibiwa na viongozi wa dini hadi inapelekea hii jinsia ya kike wa taabike kiasi hikiView attachment 2495250
Itakuwa kwakeHapo ni kwako mkuu?