Hayo maneno kama angeongea kiongozi wa waislam saa hz huu uzi angekua anatukanwa muhammad tu lakini sijaona muislam hata mmoja kamtukana
Kukaa kimya nako ni kutotekeleza wajibu. Lazima viongozi wa dini wawajibike kurekebisha jamii, na mashoga huwezi ukawatengenezea kisiwa chao wakae peke yao, lazima wahubiriwe neno wakiwa katika jamii zetu.
 
4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. 5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje? 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki.

Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. 8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati. 10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako?

Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? 11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
 
Labda ninaweza kuwa nje ya mada kidogo lakini ni sehemu sahihi kulingana na mada husika.

Kila mtu anamtizamo wake kuhusu kauli ya Papa juu ya ushoga kama ni Dhambi lakini si KOSA kisheria. Ikiwa nchi flani baada ya kuona athari hasi za ushoga katika mamlaka yake na ikaamua kuufanya ushoga ni kosa kisheria,inakujae Papa aingilie uhuru wa kujiamlia wa jamii husika kwamba sio kosa kisheria? Alitakiwa aiongelee Vatican yake na si dunia nzima juu ya sheria za ushoga maana tumepishana.

Ukija katika mustakabali wa uwepo wa dunia,ikiwa 50% ya wanaume na 50% ya wanawake wakaamua kushiriki mapenzi ya jinsia moja,baada ya miaka 50 dunia itakuwa ujao kweli au hili linafanywa kwa makusudi gani hasa?
 
💪💪
 
Ndio maana nikasema huwa sichangii mada ambazo watu wapo emotional zaidi na nikichangia ni kwa nadra sana hasa masuala ya dini, siasa au kabila za watu

Kwa point yako

Kwani Gharika ya Nuhu ilisababishwa na mashoga pekee pia mkuu

Naelewa dhambi ya ushoga na usagaji kwa akili ya kawaida inaenda kinyume na maumbile ya kawaida na hata kitamaduni ni kosa la kipekee lisilopaswa msamaha lakini kidini na kimaandiko

Haijatamkwa hivyo unless nipewe kifungu na nitakubali kubadilisha fikra zangu

Hapo ndipo papa alipoegemea kwa hiyo haijalishi kama wanaume au nchi iamue nini Ila haiwezi kubadilisha msimamo wa kimaandiko kuwa ushoga haujachukuliwa kama case isiyosameheka au iwekwe kwenye category tofauti na uzinzi ambayo wengi tunaichukulia kawaida

Lakini je, Mungu kakubaliana na matakwa yetu HAPANA
 
Ushoga sio dhambi ya kipekee iliyosababisha moto sodoma? Anyways, mm nimekuwa nikidhani ushoga kwa wakristo ni dhambi ya kipekee sana huenda nilikuwa wrong.
Na papa ametamka wazi kuwa ni dhambi
 
Reactions: Tsh
Yuko sahihi. Kwanza hauwezi kumjua huyo shoga mpaka umchungulie huko vyumbani anafanya nini. Hii mambo ya kuitana mashoga kwa muonekano wa mtu, au sauti au tembea au hata mitizamo yetu siyo njia sahihi kwa watu waliostaarabika. Kwa hiyo na wewe uko tayari tukuchunguze unafanya nini vyumbani na bafuni?
 
Uzinzi Ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zinawajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Wazee wa upinde 😀😀😀😀tunawaona
 
Ukilisoma neno la Mungu na kuelewa vizuri huwezi kuyumbishwa na mtu yoyote yule haijalishi ana cheo gani kwenye kanisa, poleni Sana wakatoliki kwa sababu huyo jamaa hua mnampa nafasi Sana kwenye maisha yenu ya Imani poleni Sana
 
Wazungu na Waarabu wametuletea dini ila vipengele vyao vigumu aisee...
 
Swala kuwa uhalifu au sio uhalifu sio kazi yake! Kazi yake kuu ni injili na abebe ujumbe wa wokovu " tubuni na kuiamini injili".
Kwa nini akae kimya? Kumnyonga mtu aliyeua ni sheria ya nchi kadhaa ikiwemo Tanzania. Lakini kanisa linaipinga hiyo sheria. Je, unataka kusema kanisa linaunga mkono watu wawaue wenzao?
 
Uzinzi Ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zinawajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Dhambi ya uzinzi haifanani na ushoga ata kidogo ndyo maana aliwaangamizaa watu wa sodoma na gomoraa
 
...... Asante kwa ufafanuzi
MTAZAMO
 

Najiuliza mbona hivi vifaa vimekua vingi mtaani? Kumbe watoto wa kiume wanazid kuharibiwa na viongozi wa dini hadi inapelekea hii jinsia ya kike wa taabike kiasi hikiView attachment 2495250
Hapo ni kwako mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…