4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?

6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.

10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
 
Uzinzi Ni dhambi kubwa sawa na ushoga nashangaa watu wanafanya Uzinzi then wanaona sio dhambi hizi nchi za Dunia ya tatu zinawajinga wengi ktk Mambo ya dini.
Nani kasema uzinzi sio dhambi?watu wanatengwa kanisani sababu ya kuzini kila siku,sasa huyu huyu Papa anaposema Mapenzi ya jinsia moja yasiharamishwe anamaanisha nini?
 
Na papa ametamka wazi kuwa ni dhambi
Unapoteza muda kumtetea. Ana kauli za kijinga zinazoleta confusion bila sababu. Kwa imani yetu tunaamini na kutamani ustarabu wowote uwe na misingi ya kiinjili.

Sasa successor of Peter anapohimiza sheria za kiraia zipitishe haki ambazo Kanisa linapinga huoni ni devil kajificha tu hapo?





Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Uharifu Vs Dhambi
Amesema siyo uharifu ila ni dhambi.
Ni kipi kigumu kukielewa hapo? Pia huo umekua msimamo wa Kanisa miaka mingi kwamba wasitengwe bali waonyeshwe upendo ili wawwze kuyatambua makosa yao.

Maadam ni Wadhambi, Kanisa lina wajibu juu yao, na si kuwatenga.
Lina wajibu wa kuwafundisha na kuwaelekeza ukweli.
 
Ni haramu au kwako wewe sio haramu? Wewe ni shoga? Unataka mwanao awe shoga?
 
Sasa successor of Peter anapohimiza sheria za kiraia zipitishe haki ambazo Kanisa linapinga huoni ni devil kajificha tu hapo?
Kuna mtu ameandika kuwa humu kuna watu wengi wavivu wa kusoma. Hebu onyesha mstari ambao amehimiza sheria za kiraia zipitishe haki ambazo Kanisa linapinga
 
Maelezo yasiwe mengi!Umesikia kakemea ushoga? Hujasikia kasema hawakosei? Kama kiongozi wa kanisa angesema kanisa linakemea ushoga angekosea?

Badala yake kaonyesha kuwakubali wahusika wa upinde! Huko mbeleni atafungisha na ndoa zao
 
Hamna papa wala sangara !!.kitabu Chao kinasema ni dhambi ila yeye anajifanya antetea means kaenda against haw ndo viongozi wa kupiga mpaka kufa kabla hawajabidili kwa matamanio ya nafsi zao.

Fuateni ukristo sio wazungu mtakuja pakuana bure.
 
Kwa nini akae kimya? Kumnyonga mtu aliyeua ni sheria ya nchi kadhaa ikiwemo Tanzania. Lakini kanisa linaipinga hiyo sheria. Je, unataka kusema kanisa linaunga mkono watu wawaue wenzao?
Unajua haki za mashoga? Kwani mashoga wanataka sheria ipi zaidi ya hizi zilizopo za kiraia? Wewe ukiua shoga si mhalifu kama wengine? Kinachopiganiwa ni haki za ndoa na hapo ndio mzizi wa ushetani unapokomea.

The Pope is too vocal juu ya haki za mashoga kuliko hata anavyo preach dhambi ya ushoga! He is completely wrong! Catholic Church is more than Pope! Anachanganya waamini tu!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Babylonia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…