Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatomba kihalali kwa mujibu wa biblia gani?Natomba kihalali. Hiyo ya kufirana ni too much.
Ndio.Papa hajakosea.
Ushoga sio kosa la uhalifu bali ni dhambi.
Umeelewa kilichoandikwa? Au unasoma lakini uelewa ndiyo shida?
Badala ya kujishughulisha na hoja wewe unaanza kydandia watu ili wakubebe na utabebwa kweli.
Yeye amesema hilo tendo siyo uharifu bali ni dhambi.
Kuna mambo yanatafsiri uharifu, na dhambi ina tafsiri yake.
Haya hebu wewe tutafsirie uharifu wa hao watu?
Wenye uelewe mdogo ndiyo mmejiweka mstari wa mbele kupinga ushoga matokeo yake ninyi ndiyo chambo mnadakwa kilaini kabisa na kumegwa kimasikhara.
Biblia imesemaje kuhusu ushoga?Unatomba kihalali kwa mujibu wa biblia gani?
Mnajichanganya, moja ya haki za mashoga ni kufunga ndoa huko sheria zilikopita. Unapanda nini ukiwa na sheria hizi? Kwa karne nyingi hakukuwa na haki za mashoga, tunatafuta nini sasa?4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?
6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.
10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?
11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Lakini ni dhambi, au sio?Natomba kihalali. Hiyo ya kufirana ni too much.
Imesema kama alivyosema Papa, kuwa ni dhambiBiblia imesemaje kuhusu ushoga?
Biblia imesemaje kuhusu uzinzi?Biblia imesemaje kuhusu ushoga?
Natomba kihalali. Hiyo ya kufirana ni too much.
Comments nyingi kuhusu Uzi huu zimekaa kifarisayo-farisayo!Natomba kihalali. Hiyo ya kufirana ni too much.
Wewe unafaidika vipi na ushoga kuwa kosa la kisheria?wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?
Basi usubiri kwanza ifike hiyo siku, usilazimishe ili upate cha kujadili sasaipo siku Papa atasema kanisa linakubaliana na ushoga,nasema ipo siku kama sio Papa huyu basi anaefata.
Kuna haja gani sasa ya kusema ushoga sio kosa wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?
Ukisema ushoga si uhalifu chanzo chake si sheria zilizopitishwa kuwa si uhalifu? Anaposema kanisa liwapokee kwani Kanisa lini limewakataa? Kanisa lifanye nini kipya?Kuna mtu ameandika kuwa humu kuna watu wengi wavivu wa kusoma. Hebu onyesha mstari ambao amehimiza sheria za kiraia zipitishe haki ambazo Kanisa linapinga
Hawa keyboard worriors ni wanafiki kuliko kawaida.Comments nyingi kuhusu Uzi huu zimekaa kifarisayo-farisayo!
Hizo sheria ndizo hazifai. ZIFUTWE.Ukisema ushoga si uhalifu chanzo chake si sheria zilizopitishwa kuwa si uhalifu? Anaposema kanisa liwapokee kwani Kanisa lini limewakataa? Kanisa lifanye nini kipya?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Nenda Google sina time hiyo ya ubishi!Nani amempa u successor wa Peter? Kwa ushahidi upi? Wapi?
swali la kipuuzi.Wewe unafaidika vipi na ushoga kuwa kosa la kisheria?
ushoga ni dhambi kwasababu ni machukizo mbele za Mungu.